Jamani nipeni RUKSA mama wa miaka 56, i am 24yrs

Hapo ndio faida ya ulevi inapoonekana,ungekuwa mlevi wala asingekufuata na wewe wala usingekuja humu kuomba ushauri.

Haahaa! Let me sleep in peace comrade! I need a beer to keep me away from troubles.
 
Sidhani kama uko sawa wewe. Na kama una hamu ya kufa bora unywe frajil kibao ufe pekeyako usije ukamuua na mtoto wa watu kwa tamaa zako.
 
Haahaa! Let me sleep in peace comrade! I need a beer to keep me away from troubles.



The Following User Says Thank You to Ndahani For This Useful Post:
Paka mweusi (Today)


Sawa mkuu enjoy jourself kamata na zawadi hiyo hapo.




 
"Ikimbieni zinaa. Kila dhambi aitendayo mwanadamu ni nje ya mwili wake; ila yeye afanyaye zinaa hutenda dhambi juu ya mwili wake mwenyewe. " (1 Wakorintho 6:18).
 
nina wasiwasi na wewe kaka hilo la kuuliza humu? chapa hiyo kitu ilale
 
Usijiaribie utu wako ,hiyo ni kitu ambacho utakijutia utakapo kifanya,ridhika na gf wako 1,anakutosha,mwambie live kuwa haumtaki ,heshima idumu. Kuwa mwanaume.
 
hey kwakweli
nimesoma hiyo thread yako nikakosa jinsi ya kukushauri
sikia bwana kila kona upitayo kuna matamanisho
na matamanisho yote yanatokea wakati wewe tayari uko na mtu
ok cha muhimu unatakiwa uwaze nini au nani unamuhitaji maishani mwako ili uwe na furaha ???
coz life is too short u have to be happy.....
kwa hiyo mimi sintakwambia umchukue huyo jirani wako au uendelee na gf wako wa sasa
hilo jibu liko moyoni kwako.....
 
Maandiko yanesema ukitamani ushazini...na isitoshe ushaanza kusifia..mara **** jeupe ,mara analipa..hizo zote ni dalili za tamaa.
Halafu kumbuka ukitaka kupona usikatae ukweli..
Uzinzi sio tatizo la mtu mmoja ,its a Global crisis.

Mmmhh kwa andiko hilo dada yangu hapana kutamani tu nimeshazini yaani hapa nitapinga, hata nikifika mbinguni kama nikijaliwa nitasema hapa Maandiko yalikosewa kabisaaaaa, sasa macho tumepewa ya nini? maana mimi na ww tunatamani mambo mengi sasa, mfano nikitamani keki utaniambia nimesha kula? kuzini must be physical, this is an Old Testament verse, ebu angalia vizuri, Yesu alipokuja alibadili maandikomengi sana tukawa na New Tastement, that is outdated verse mpendwa, ila ukisema nikae nae mbali that is true nitafanya haraka, thanks
 
mshkaji kimbiaa ........ mkatae tena usigeuke nyuma .......... watoto wapo tu wa kutosha ......... mara utanza kuvutiwa na wazee ukimkosea akisema umembaka wala ushaidi hautafutwi ....... maana kijana kama wewe utakuwa umetoka wapi na kikongwe kama yeye ......... uwe unaangalia na upande wa pili :nono:
 

ur 100% right, mfano juzi kati hapa 2 weeks ago, kaniambia anahoma kali nimpitie eti nisalimu, nikasema acha nimsalimu mind you huyu ni jirani, yaani nyumba yake then yangu, nikapita mara akasema nimekuandalia keki, nikamwambia ok asante huwa napenda kekim kweli, nikmwabia kiujanja nifungie mm sili hapa, maana hadi nipumzike after hours of office working, nilipofika nayo home mara moja kwenye jalala nikatupa, sijawahi kula wala kunywa kwake, so naogopa, si kwamba naomba tu ushauri nachukua tahadhari kibao tu, nashukuru kwa michango yenu wapendwa, narudia tena tukiwa na afya tele shida tukiwa wagonjwa shida, miili yetu balaa kweli, wote mbarikiwe
 
Usijifariji kuwa mume wake alikufa kwa ajali..unajuaje kama alijigongesha baada ya kusoma results slip! Achana na huyo sugar mommy tulia na mchumba wako. Pia unaweza kumwambia asije kabisa hapo nyumbani kwako vinginevyo utashawishika. Take care young brother:nono::nono::nono::nono:
 
Kulingana na ulivyomsifia huyo mama kubwa, umeanza kumtamani, ukimruhusu akuzoee sana, believe u me utaingia mkenge na kula mzigo. Ilishawahi nitokea. Ila huaga ni watamu sana. Take care!
 

Kajanga twende wewe gonga tu bahati ya mtende hiyo lakini kumbuka kuvaa gambuti
 
Zinaa haikemewi tu, yapasa kuikimbia kabisa. Watch out bro n tk cr!
 
Miaka 56 na wewe 24 OMG! pole !
Hivi hawaoni wazee wenzie ?
 

uje nikufanyie counselling huyo mama **** lake jeupe utaliona pasi,,ngozi yake utaiona lamii ya magufuri nakwambia hautamtaka kumwangalia mara mbili....
 

Je hicho kifo cha mumewe kuwa ni cha ajali ni kwa yeye kukuambia au wewe binafsi umejiridhisha kuwa ndivyo kilivyotokea? I am just thinking a loud baada ya kuona wanawake wengi na hata wanaume wakidanganya juu ya mazingira ya vifo vya wenza wao wakidai ndivyo kumbe sivyo. Kuwa makini na move hiyo usije jikuta kwenye wingu zito la majuto yasiyo na suluhu katika umri huo ulio nao sasa. Si kutishana bali ni kuasana tu ki utu uzima.

Otherwise, Good luck bro! Akikushinda basi nitupie mimi (huo mzigo) wa saizi yake🙂 Ni ujaribu tu kama wafaa au vipi🙂!
 
Lipa fadhila ya kuumbwa handsome, ipo cku utaulizwa kuwa uliwakatili watu haki zao kwa kutotimiza wajibu shaauri yako!!!!!!!!!!!!!!!!!!

just kiiding man, hapo wewe c mtoto kama vivpivipi tu
 
Kajanga twende wewe gonga tu bahati ya mtende hiyo lakini kumbuka kuvaa gambuti
......................................ungekuwa ni wewe hata ushauri usingekuja kuomba hapa ahahahahaaaaaaaah.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…