Jamani nisaidieni-huyu dada ananipa presha.


lamba halafu kula kona njoo uombe ushauri tena...
 
Pole ndugu,atachoka mwenyewe,huyo sio mzima akilini ana matatizo ya saikolojia!
 
Lizzy,mwenzio kaomba ushauri bana. Mpe ushauri mbona ghafla umekuwa mkali like this na una mahasira povu linakutoka mdomoni like the woman in question? Or are U the one?
Ingekua ni mimi ningeshamlamba makwenzi ya ukweli...nwy kina dada ndo mjifunze wakati mwingine kumtokea mwanaume ni balaa tupu...siku yakichacha unaanza kuambiwa ulijipendekeza na kung‘ang‘ania kisicho chako!!
 
Nemo nakubaliana na ushauri wako.
Lakini ningependa kuweka wazi kuwa thred nyingine hapo juu nimeisoma na kuna tofauti kubwa tu.
-Mimi ni mkristo wakati kwenye thread ile mwanaume ni mwislamu
-mke wangu hajaonana wala kuongea na bibi huyu fedhuli na wala hajamsikia, hilo nashukuru Mungu

Sijaeleza hadithi yote , huyu bibie wa kwangu ni kichaa, kichaa kabisa maana anatamba kunikomoa kwa vile anatembea na waziri fulani hapa mjini.Kwa kifupi huyu dada ni mchokozi na mn'gang'aniaji wa hali ya juu, wakati tabia yake si nzuri.
 
Ingekua ni mimi ningeshamlamba makwenzi ya ukweli...nwy kina dada ndo mjifunze wakati mwingine kumtokea mwanaume ni balaa tupu...siku yakichacha unaanza kuambiwa ulijipendekeza na kung‘ang‘ania kisicho chako!!

Kunilamba makwenzi bibie ni utashi wako lakini kwa mazingira yaliyopo ni hatari sana.
Mwenzio alpokuja kunikashifu ofisini mbele ya watu wote sikufichi alikuwa anakikaribisha kifo, hili hata mimi niliogopa.
 

Asante mkuu kwa ushauri wa kiroho,dhambi tunalipa hapahapa,ni ushauri ninaoutilia maanani, ingawaje tunaokoka kwa Neema.
 
Umeingia choo cha kike mzee,usirudie tena.we rudisha full penzi kwa mkeo si umeona hatari ya nyumba ndogo?
 
Anampango wa kutembela nyota yako huyo.
ni vyema usimjibu chochote, atachoka mwenyewe.
 
Umeingia choo cha kike mzee,usirudie tena.we rudisha full penzi kwa mkeo si umeona hatari ya nyumba ndogo?
Ni kweli ndugu, tamaa mbaya.
Lakini kinachonitia hudhuni ni kuwa nimeingizwa mkenge na huyu dada na nimeingia kichwa kichwa.
Kujinusuru imekuwa nongwa
 
Anampango wa kutembela nyota yako huyo.
ni vyema usimjibu chochote, atachoka mwenyewe.
Asante ndugu, nimefanikiwa kutomjibu kwa mwaka sasa, lakini hachoki kupiga simu na msg.I hope atachoka.
 
Asante ndugu, nimefanikiwa kutomjibu kwa mwaka sasa, lakini hachoki kupiga simu na msg.I hope atachoka.
We cheza na mademu wa siku hizi kama hawajakurudisha kwenu sijui rombo au kimanzichana sijui.
badilisha laini ya simu.
 

lizzy mtu mpaka amejianika hivi.. anashida na anahitaji ushauri.... na sio kejeli ....

Mkuu ushauri wangu acha pombe.. maana mambo yote hayo pombe ndio chanzo
 
lizzy mtu mpaka amejianika hivi.. anashida na anahitaji ushauri.... na sio kejeli ....Mkuu ushauri wangu acha pombe.. maana mambo yote hayo pombe ndio chanzo
Ushauri angeomba bila kumdharau huyo dada maana nae ni wale wale....angekua muungwana angeomba kistaarabu au angejidharau na yeye maana sioni kama yeye ni bora kuliko huyo anayedai amemrubuni...wanaume mzima anarubuniwa?!Mara mbili?!Aseme tu alikubali na kama dada anamtia kichefu chefu yeye nae anajitia kichefu chefu kwa tabia yake.Sio anajifanya VICTIM wakati alikua na akili zake zoe wakati wanashiriki mambo yao huko!!!
 
Asante dada yangu , una akili sana na vijembe vyako vimenikolea.
Lakini kurubuniwa na mwanamke(for material gains) ni mchezo uliopao sasa hivi mijini.
Mchezo huu upo tangu zamani za kale enzi za Queen Cleopatra.
Hili halilalaishi makosa niliyofanya, nimeamka na naendelea mbele.
Licha ya vijembe vyako hujajibu swali langu la kutaka ushauri, wa huyo mwenzio anayenisumbua kwa simu na msg-hapo unasemaje mrembo.
 
Badili hiyo kauli ya kwamba nakupiga sijui nakutupia vijembe (mi sio mpenzi wa taarabu) then ntafikiria kukushauri!!Na huyo dada sio mwenzangu.....
 
Badili hiyo kauli ya kwamba nakupiga sijui nakutupia vijembe (mi sio mpenzi wa taarabu) then ntafikiria kukushauri!!Na huyo dada sio mwenzangu.....
Kajukuu kangu kanoko haka....khaaa!
 
lizzy mtu mpaka amejianika hivi.. anashida na anahitaji ushauri.... na sio kejeli ....

Mkuu ushauri wangu acha pombe.. maana mambo yote hayo pombe ndio chanzo
Hii pombe mnaisingizia vingi sana...... pombe ndo ilimvulisha chupi? Ndo ilimpa namba za simu? Ndo inatukana?...Wakati ameanza kuzoeana naye na kumkaribisha pombe akijua ana mke home, ni pombe ilimtuma?
 
Hii pombe mnaisingizia vingi sana...... pombe ndo ilimvulisha chupi? Ndo ilimpa namba za simu? Ndo inatukana?...Wakati ameanza kuzoeana naye na kumkaribisha pombe akijua ana mke home, ni pombe ilimtuma?

Walitoka out huku na huku Majoja akajikuta anakagua baada ya kupiga chicha
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…