Dada Lizzy, naona umetutoa kwenye thread, yaani wewe kwa kusoma tu hiyo stori ya ndugu yetu huyo unakuwa mkali kama wewe ndo umeumizwa?, Nadhani msamehe mshauri nini afanye kuepukana na dhahama iliyomkuta, na achukue hatua gani ili asirudie!Ushauri angeomba bila kumdharau huyo dada maana nae ni wale wale....angekua muungwana angeomba kistaarabu au angejidharau na yeye maana sioni kama yeye ni bora kuliko huyo anayedai amemrubuni...wanaume mzima anarubuniwa?!Mara mbili?!Aseme tu alikubali na kama dada anamtia kichefu chefu yeye nae anajitia kichefu chefu kwa tabia yake.Sio anajifanya VICTIM wakati alikua na akili zake zoe wakati wanashiriki mambo yao huko!!!