Jamani nisaidieni-huyu dada ananipa presha.

Nyumba kubwa..... Avatar yako ilinihadaa.... kumbe wewe mmama?.........Khaaa!
 
this is crap, yaaani pamoja na makosa yooote hayo umefanya, bado tu unazidisha kosa la kutomwambia mkeo?au nayo unamficha asijue?ushauri wa kwanza unatakiwa kufanya bwa mdogo unatakiwa uende ukatubu kwa mkeo,wazazi wako na wakwezo...do that kwanza then we move ahead...cz sooner or later they wl know abt t, itakua kosa juu ya kosa
 
Kwangu mimi avatar inaashiria kitu nikipendacho. Chavez ni kati ya current politicians ninao wapenda. Sioni sababu ya kuweka picha ya beyonce kwani kwangu haina maana yoyote.

Nahisi ana nyuki mbili
 
Ulaum ulikojikwa sio ulikoangukia.
Mwanaume kutongozwa ukakubali kirahhisi ni udhaifu wa hali ya juu na ujue kuwa akiamua anaweza kukufuatilia hadi akakuvunjia mji. Ukishajikomit kwa mkeo inabidi uwe makini na wanawake wengine. Vinginevyo unajitafutia matatizo.
Ushauri, muite mkae akiwepo mtu mwingine, naye ikibidi aje na mtu mwingine ina maana mkae mkiwa wanne. Kubali kosa kuwa ulimkosea Mungu wako na binti mwenyewe. Mwombe msamaha kwa yote ulomtendea, na mpe msimamo wako ili asiendelee kujisumbua. Kunyamaza ni kukuza tatizo. Kimya kingi kina mshindo mkali. Pole sana kwa kutotulia kwa mkeo.
 
Kwangu mimi avatar inaashiria kitu nikipendacho. Chavez ni kati ya current politicians ninao wapenda. Sioni sababu ya kuweka picha ya beyonce kwani kwangu haina maana yoyote.

Umesomeka nyumba ndogo
 
hivi anakaa barabara ya ngapi huyu jamaa?lakini sishangai, wajasilia mali wanaume wa mlimani(lushoto) wanasifika sanakwa kuwa na nyumba ndogo. labda hapa anatangaza nafasi nyingine
Inawezekana kabisa akawa anatangaza biashara maana kasema kabisa mambo yake safi!!
 
 
Sasa kamanda Majoja unajuaje huo ujauzito ni wako?

Usije ukawa unahudumia mimba ya The Boss ukajua wewe ndo umepanda mbegu.

Tafadhari wife wako hakikisha hajui hii kitu akijua tu mdudu anaingia kuvuruga ndoa yenu.

Fidel pengine sikueleweka huko nyuma.
Huyu dada alipata ujauzito lakini mimba haikukaa na baada ya miezi minne mimi nikaona tumbo liko flat, nikauliza kunani?, na ndio mtafaruku ulipoanza.
Kimoyomoyo nikamshukuru Mungu, kwa kuwa angenasa na mimi nimenasa.
Ugomvi mkubwa ulianza baada ya kukataa katakata kurudia kujaza mimba nyingine, hivyo kudhibitisha kuwa ile mimba kwake ilikuwa dili.
Nimechongewa kwa watu wengi tu lakini baada ya kusikia visa vya huyu dada wote wana kuwa upande wangu.
Kwa mke wangu nafikiria mara tatu tatu kumwambia asije rudi kwao, na hapo itukuwa imekula kwangu.
 
Inawezekana kabisa akawa anatangaza biashara maana kasema kabisa mambo yake safi!!
Nimekupa stori nzima ili ujue mazingira ya suala lenyewe, lakini kwa kifupi sina tatizo na pesa , lakini pesa hainunui utulivu wa moyo.
 
Tamaa mbele mauti nyuma. Hii yote ni kutokumjua Mungu. Angemjua Mungu asingemsalti mke wake. Njoo kanisani kwangu nikuombee upone hiyo dhambi mbovu ya kuikosea nafsi yako.
 

Umesomeka mkuu sasa cha kufanya wewe jivue gamba

Alafu badili line ya cmu ili akome kukozoea najua alisha kugeuza wewe ATM
 
Asante sana Nyumba Kubwa, wasichana wengi walioolewa juzijuzi au wasioelewa huwa hawajui kuwa wanaume walooa wanawindwa sana, hadi wengine kudai wazi wazi kuwa wanataka kuwa nyumba ndogo.
Najua kiboko ya mwanamke ni mwanamke mwenziwe.
Ushauri wako nitauzingatia
 
Lizzy ni wewe nini, mbona mkali sana hivyo? acha kung'ang'ania wanaume wasiokupenda...dah..
 
Lizzy ni wewe nini, mbona mkali sana hivyo? acha kung'ang'ania wanaume wasiokupenda...dah..
Embu acha upuuzi wewe...unaniona wakung‘ang‘ania mwanaume mimi?!Kwa lipi haswa?!
 
Tutor B inaelekea hujaelewa mada yenyewe.Mimi nimeisoma na tena nikairudia na kuna mahala huyu bwana Majoja amesema ameipeleka kesi hii kwa bdugu wa huyo bibie, na wao wakaishia kusympathise na huyu Majoja.
Hivi kwa nini jamii isielewe kuwa kuna vibaka wa mapenzi kama huyu dada aliyesimuliwa.
Na kwenye hili tuna mtafuta mchawi wakati hata ndugu wa huyu dada wankubali kuwa she is erratic.
Mimi namsifu huyu bwana Majoja kwa uungwana wa kukubalu kukaa na "wakwe" na kufikia uamuzi kuwa mtoto wao aachane na huyu bwana-madhali hakuna mimba.
Huu uking'ang'anizi wa huyu dada ni kupewa kichwa tu na watu kama nyinyi.
Hala hala akifahamika asije kupata the final solution katika ndoa ya mtu.
 
Ni kweli kabisa haya ,mambo kama hayajakukuta au kumkuta mume au mkeo ni rahisi sana kutoa majibu mepesi kwa maswali magumu. I was the same mpaka nilipo pata experience. Si rahisi hasa kwa wanawake kummwacha mumeo kisa amecheat ilihali kaomba msamaha, unless ndoa hiyo haiku base kwenye pendo la dhati.

Na hivi nilishajua kuwa kwa wanaume kutoka nje ya ndoa haina maana hampendi mkewe, hata nyumba ndogo inijie home kuharibu simwachi mume wangu n'go; unless nione kuwa mapenzi yamekwisha. Ila hizo tamaa za wanaume tutarekebishana tu.


 
Habari yako imenifanya nismile asante sana sitaki nataka ..bahati yako mkeo hajajua ..kumbe kadada kana ustaarabu kidogo hakajamtafuta mkeo kutibua ...

kumbe huwa mnafanya lakini mnaogopa sana wife asikaate news ,Rafiki heshimu ndoa yako mi sina mengi weekend imenichosha
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…