Toplemon imegoma mkuu?Hellow guys...........
Nisaidieni lotion nzur ambayo inang'arisha ngozi
Iwe bei kati ya kuanzia 3000 mpaka 10000
Iwe kwenye hilo gape la 3000------na------10000
Hata kwa kunipm pls
Pls wadau
Nipo serious
Kama ni mpenzi wa natural skin itakufaa kwani haing'arishi mpaka ikakera. Bei yake inategemeana na ulipo na kiwango cha mafuta. Yapo ya kuanzia 2000 kwa ml.50 mpaka ya sh.40,000 kwa lt.mojaBei gani?inang'arisha vizur eeh
Ngoja nikaitafute hiyo olive oil mkuu i hope nitang'aaKama ni mpenzi wa natural skin itakufaa kwani haing'arishi mpaka ikakera. Bei yake inategemeana na ulipo na kiwango cha mafuta. Yapo ya kuanzia 2000 kwa ml.50 mpaka ya sh.40,000 kwa lt.moja
Hayo ya parachute yanapatika maduka ya vipodozi?vipi kung'arisha?
Hivi kuna olive oil ya kupaka mwilini.?Nna ngozi kavu mpaka naichukia.Kama ni mpenzi wa natural skin itakufaa kwani haing'arishi mpaka ikakera. Bei yake inategemeana na ulipo na kiwango cha mafuta. Yapo ya kuanzia 2000 kwa ml.50 mpaka ya sh.40,000 kwa lt.moja
HiziHivi kuna olive oil ya kupaka mwilini.?Nna ngozi kavu mpaka naichukia.
Hv haya si ya nywele..?Olive oil is the best!
vipi kuhusu mafuta ya nazi?Olive oil is the best!
Hayo pia yako poavipi kuhusu mafuta ya nazi?
Sio nywele tu hata usoni / mwilini yanapakwa.Hv haya si ya nywele..?
Nivea for men kwenye mwili pia mafuta ya nazi napaka kwenye nywele usisahau scrub inakufanya ugae zaidi mim natumia scrub ya lemon pia usisahau kula vizuri kama unauwezo wa kula vizuri nunua vidoge vya vitamin B coz ngozi nzuri inajengwa toka ndani pia usisahau perfume shalis ni tamu sana nimeshahau hadi kutongoza wajileta wenyeweIpi lotion ya kiume inafaa kwa men?isiwe inachubua na iwe inasoftisha tu ngozi
Nivea for men kwenye mwili pia mafuta ya nazi napaka kwenye nywele usisahau scrub inakufanya ugae zaidi mim natumia scrub ya lemon pia usisahau kula vizuri kama unauwezo wa kula vizuri nunua vidoge vya vitamin B coz ngozi nzuri inajengwa toka ndani pia usisahau perfume shalis ni tamu sana nimeshahau hadi kutongoza wajileta wenyewe
Scrub ya lemon ndo ipoje?Nivea for men kwenye mwili pia mafuta ya nazi napaka kwenye nywele usisahau scrub inakufanya ugae zaidi mim natumia scrub ya lemon pia usisahau kula vizuri kama unauwezo wa kula vizuri nunua vidoge vya vitamin B coz ngozi nzuri inajengwa toka ndani pia usisahau perfume shalis ni tamu sana nimeshahau hadi kutongoza wajileta wenyewe
Badala ya kutafuta issue za kung'arisha mfuko wewe unatafuta ya kung'arisha sura!!Ipi lotion ya kiume inafaa kwa men?isiwe inachubua na iwe inasoftisha tu ngozi