Jamani Nisaidieni Mbinu za Kutenganisha Wanandoa!!!

Yaani ndoa ivunjike na wewe upate mke! Achana na vitu hivyo wapo wengi tu warembo hata hapa JF kama umeshindwa kabisa kupata mwingine omba hapa wajitokeze halafu uchague, unahangaika na mipira ya mbali wakati ipo ya karibu.
 
Hujui ninachokipata kwake!! But sio UTAMU 2.
Wapo wengi lakini sio wote unaweza kuoa!!!

Vitu vingine haviliki mkuu kwani lazima huyo huyo? Mbona wapo kibao mkuu au domo zege?
 

mpe mimba halafu tangaza ana bao lako baada ya miezi nane hivi, ukiwahi tangaza itachomolewa faster

wako ibilisi
 
yaani hapa hesabu kuwa UMELIWA + MAUMIVU; weye ni kama DILDO tu kwake!

Mwenyekigoda KAIZER; upo wapi mpwa ni pm ASAP
 
Tatizo sio warembo mkuu!!!Pls naomba mnielewe hivyo!!
Duh!!tatizo humu JF naona wote wapo DOUBLE!!!But naweza kurudi kwa hili,
sasa hivi nahitaji hizo mbinu!!

Yaani ndoa ivunjike na wewe upate mke! Achana na vitu hivyo wapo wengi tu warembo hata hapa JF kama umeshindwa kabisa kupata mwingine omba hapa wajitokeze halafu uchague, unahangaika na mipira ya mbali wakati ipo ya karibu.
 
Cant put it any better
 
Yesterday 01:12 PM #1

Eng. Smasher
Inakuwaje upo na mkeo faragha mnatalk then yupo bizzy na simu muda wote!!!

Mamboz wana JF??

Nauliza swali jamani,Inakuwaje upo na mkeo sumwhre faragha mnatalk nae wakati huohuo yupo bizzy na simu anachat muda wote!!!!

Utachukua uamuzi gani??!!
Engineer Smasher
Mkuu hapa nimeelewa ni huyu new bibi harusi aliukuwa anachat na wewe,bana sio vizuri ,achana na huyu ,utapata atakayefaa ,huyu akufai,utapata pressure,maana akianza na yeye chobingo utaumia roho.
 
Naomba muelewe kuwa nilimvika pete ya uchumba wiki 1 kabla ya NDOA!!
Ili jamaa akiona aahirishe coz walikuwa kwenye process ya NDOA yao!!

sawa mkuu nimekusoma ila kumbuka mwanamke sio mzigo ambao unaweza ku-possess bila ridhaa yake.hata kama wazazi watalazimisha vipi kama hataki kuolewa hataolewa.ndio maana nakwambia mwanamke aliridhia kuolewa na huyo jamaa.si ajabu kua mwanamke hata hakumuonesha huyo jamaa pete uliyomvisha.pete si inavaliwa na kuvuliwa muda wowote!kwa sababu kama jamaa angeiona lazima angelianzisha tu.
 
Karibu.. hebu ni PM ya number pls for logistic!

Duh hii number imetafutwa kupitia kila thread humu JF.....kuna kitu hapa..wikileaks please du ze nidful
 
Duh!!Mmeshindwa kuchangia maada??!!
Sory Muheshimiwa si unakua tena mambo ya mwisho wa mwaka!!
Back to the Topic, Nakushauri uwe makini sana na huyo mke wa mtu. jamaa akijua kua kuna mtu anamfanyia hiyana anaweza kukumalizia mabli kabsaa!
 
Duh hii number imetafutwa kupitia kila thread humu JF.....kuna kitu hapa..wikileaks please du ze nidful

okay mkuu hutaona tena hii habari manake TUMESHAMALIZA hii chapta tuendelee na mada sasa...
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…