Eng. Smasher
JF-Expert Member
- Nov 13, 2010
- 745
- 23
- Thread starter
-
- #61
okay mkuu hutaona tena hii habari manake TUMESHAMALIZA hii chapta tuendelee na mada sasa...
We kazi yako kukagua tu ishu za 😛reggers:hazikuhusu!Maty ukipata mimba usinitafute.
OOh cheaman...kwa heshima yako turudi kwenye tupic...Hivi leo injinia smasher anazungumzia ku-do ze nidful juu ya guta au?
OOh cheaman...kwa heshima yako turudi kwenye tupic...Hivi leo injinia smasher anazungumzia ku-do ze nidful juu ya guta au?
We kazi yako kukagua tu ishu za 😛reggers:hazikuhusu!
Babu tatizo la Eng. Kashweka lazima so yupo tayari kwa lolote!! mi namuonea huruma sana huyu maana ma Eng. bado tunawahitaji aseeHaya rudi kwanye mada ya jamaa anayetaka kuoa mke wa mwenzie.
amani naomba mnisaidie mbinu za kufanya jamaa atoe talaka coz 2na mipango mingi sana na huyu Binti lazima nimwoe hata kama ni Bomani!! Nifanye nini??!!
Babu tatizo la Eng. Kashweka lazima so yupo tayari kwa lolote!! mi namuonea huruma sana huyu maana ma Eng. bado tunawahitaji asee
Hommie hii ngumu bana yaani hiyo ni Big No.. sio kujua tu hata nikihisi kua homeboy wangu hapa kapita siwezi...Hommie, we unaweza kuoa binti ambaye unajua nimeshammega?
Duh hii number imetafutwa kupitia kila thread humu JF.....kuna kitu hapa..wikileaks please du ze nidful
Duh!!Mmeshindwa kuchangia maada??!!
Hommie hii ngumu bana yaani hiyo ni Big No.. sio kujua tu hata nikihisi kua homeboy wangu hapa kapita siwezi...
Hommie hii ngumu bana yaani hiyo ni Big No.. sio kujua tu hata nikihisi kua homeboy wangu hapa kapita siwezi...
hahahahaaaa una uthubu2 dont underestimate strength ya woman casin
Hommie hii ngumu bana yaani hiyo ni Big No.. sio kujua tu hata nikihisi kua homeboy wangu hapa kapita siwezi...