Jamani nisaidieni mwenzenu wana jf

nadhani mdada unatakiwa uwe na muda wa kukaa na kumkumbuka mmeo au mambo mazuri mliyokuwa mnayafanya na mmeo hii inasaidia sana kuepukana na msongo wa mawazo lakini bahati nzuri mna mtoto tayari tumia muda mwingi sana kukaa na mtoto na hii inasaidia sana ..
epukana na marafiki wanafiki au kuwa unawatembelea sana marafiki au kukaa nao bar au kupiga story zisizo na kicwa wala miguu
epukana kusoma vijarida vya ngono au kuangalia picha au sinema za ngono
 
Video skype na mumeo mridhishane; nge zote zitaisha au la muombe akutumie vibrator........ Lol
 
nakushauri ukizidiwa uwe unapiga punye. pia ondoa mawazo ya tendo la kikubwa. mwisho kabisa sex phone ihusu hapo.

Well said Hussy; wanaweza hata tumia skype (video calling) works very well.
 
nakushauri ukizidiwa uwe unapiga punye. pia ondoa mawazo ya tendo la kikubwa. mwisho kabisa sex phone ihusu hapo.

this thread is strictly for ladies,ila kuchungulia ruksa!
 
Vumilia bi dada,
mpe mmeo heshima yake kwann umuibie.......
unajua ukishazoea wizi hata akirudi utatamani kuiba.
PLZ USIFANYE HIVO.
 
nakushauri ukizidiwa uwe unapiga punye. pia ondoa mawazo ya tendo la kikubwa. mwisho kabisa sex phone ihusu hapo.
ushauri mzuri sana...kama vipi anunue toy
 

Hofu yangu kubwa huna ndoa, kama unayo basi hukujiandaa wakati mumeo anaondoka. Hiyo tamaa inaanzia kwenye ubongo kama kweli una mume ina maana huwezi kusaliti kwa sababu mtu wako hayupo.

Nenda benki kakope umfuate akutibie deni utalipa ukirudi. Wanawake wengine vimeo!
 
Mi mwenyewe nimeipenda thread naomba ani pm japo namba ili tuweze kusaidiana kiundani zaidi maana tatizo hapa ni mazoea na sio kummis mtu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…