nakushauri ukizidiwa uwe unapiga punye. pia ondoa mawazo ya tendo la kikubwa. mwisho kabisa sex phone ihusu hapo.
nakushauri ukizidiwa uwe unapiga punye. pia ondoa mawazo ya tendo la kikubwa. mwisho kabisa sex phone ihusu hapo.
tatizo thread inavutia!! mungu thi athumani unaweza uka2nukiwa! thi unajua jamaa yupo mathomoni.
ushauri mzuri sana...kama vipi anunue toynakushauri ukizidiwa uwe unapiga punye. pia ondoa mawazo ya tendo la kikubwa. mwisho kabisa sex phone ihusu hapo.
kwani Husninyo ni kidume?this thread is strictly for ladies,ila kuchungulia ruksa!
Nilioana na mume wangu miaka mitatu iliyopita,tumebahatika kupata mtoto mmoja.Bahati nzuri alipata nafasi ya kwena masomoni nnje ya nchi miaka miwili iliyopita. Tatizo langu ni kwamba ninashikwa sana na tamaa za mwili kiasi kwamba najikuta natamani kumsaliti mume wangu! nafsi yangu inanizuia lakini nateseka sana.naomba ushauriwenu wana JF
this thread is strictly for ladies,ila kuchungulia ruksa!
kwani Husninyo ni kidume?
kidume haswa tena cha mbegu,
siamini itabidi tufanye uchunguzi wa ki-biology ili tujue ukwelikidume haswa tena cha mbegu,
Husninyo kidume cha nani wewe? Jamani jamani mbona mwataka kutuua na kucheka???
siamini itabidi tufanye uchunguzi wa ki-biology ili tujue ukweli
nitajua jinsi ya kukabiliana na wewe vizuriusije ukatoka nduki bila viatu.
nitajua jinsi ya kukabiliana na wewe vizuri
nikikuta hakuna udume utanikoma lazima uwe jike bila kupendahaya nakusubiri huku tuchunguzane.
nikikuta hakuna udume utanikoma lazima uwe jike bila kupenda