Determinantor
Platinum Member
- Mar 17, 2008
- 59,045
- 94,974
:lying:ahhhhhh acha uchowo wewe km unataka kumsaidia mawazo asi umsaidie tu sa cha kujitia waDADA tu ndoo wameombwa kitu gani?
ebu acha ujembe uo km una fruitful advice pls gve t 2ha!!
pole safina jaman
unaniogopesha mwenzangu ata kuolewa kwenyew km ndo uko!!!
mi staki kabisa dah bora ata mngekuwa bfrend na galfrend mbona ungemtimua ........dahh no muhogo wa jangombe miezi 8 ...sa unakaa nae wanini ? pamb?
dai dudu bib weeeeeeeeee !!!!!!!!km vp nenda KWA MSHENGA !!!!!!!!
pole dadangu!!!!!!!!!!!!
ndoa makorokocho eenhhhhhh ???????:crying😱h mamamaria nsaidie mimi .....roho wa mungu nipe busara na hekima mume atakayenijia awe mpya na mtamu kwa kunijaalia yote nitakayoyataka kwake :amen:
POLE DADA!!!!!!!!!!!
....aah, huenda mumeo ni obese, au au nawe umejisahau ushapoteza mvuto. Huenda ana ugonjwa wa kisukari. hivyo kuathiri nguvu zake za kiume. Au, pengine tendo la ndoa baina yenu lilishaacha kuwa ni starehe, likapitia kipindi cha 'wajibu', na sasa hakuna mvuto tena kwake kuwajibika kwako.
Jaribuni kubadili mazingira, uwezo mnao...siku moja panga 'honeymoon' um surprise... hakikisha Ijumaa, jumamosi mpaka jumapili mnaitumia nyie wawili pekee hukooo kwenye fukwe za maraha,... Jipeni walau siku tatu mbali na familia, biashara na ajira zenu ambazo naamini zimechangia stress kwenye maisha yenu.
Inawezekana.
:lying:ahhhhhh acha uchowo wewe km unataka kumsaidia mawazo asi umsaidie tu sa cha kujitia waDADA tu ndoo wameombwa kitu gani?
ebu acha ujembe uo km una fruitful advice pls gve t 2ha!!
pole safina jaman
unaniogopesha mwenzangu ata kuolewa kwenyew km ndo uko!!!
mi staki kabisa dah bora ata mngekuwa bfrend na galfrend mbona ungemtimua ........dahh no muhogo wa jangombe miezi 8 ...sa unakaa nae wanini ? pamb?
dai dudu bib weeeeeeeeee !!!!!!!!km vp nenda KWA MSHENGA !!!!!!!!
pole dadangu!!!!!!!!!!!!
ndoa makorokocho eenhhhhhh ???????:crying😱h mamamaria nsaidie mimi .....roho wa mungu nipe busara na hekima mume atakayenijia awe mpya na mtamu kwa kunijaalia yote nitakayoyataka kwake :amen:
POLE DADA!!!!!!!!!!!