Jamani nisaiidieni niashara ya bucha je inalipa

m bena

Member
Joined
Aug 22, 2013
Posts
18
Reaction score
1
jamani msaada kwa mtu ambae amesha fanya hii biashara bucha je inalipa sh ngapi kwa kilo moja
 
Mtoa mada, Usiulize kwanini.

Ila kiukweli,
Hauko serious na Biashara unotaka kufanya..

Ukishajipanga Ntakuja Nikujibu.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Unapoanzisha uzi wa kutaka MSAADA jitahidi ueleze machache upate kusaidiwa,
1)uko wap Yaani mahali unapotaka biashara uanzishe
2)bajeti yako yaan kianzio au mtaji kwa ujumla
3)una uzoefu na biashara Yoyote ukiacha Hiyo ya bucha
4)na mengineyo, ili uweze kusaidiwa kidogo au Zaid

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…