Elections 2010 Jamani oneni nchi inavyoliwa. Ni haki yako kulia na kutoa machozi

Ta Muganyizi

R I P
Joined
Oct 19, 2010
Posts
5,355
Reaction score
2,736
MOSHI MJINI










Chadema`s Union presidential candidate, Dr Willibrod Slaa, addresses a campaign rally at Mashujaa grounds in Moshi yesterday.
Mgombea ubunge wa Jimbo la Moshi Mjini kwa tiketi ya Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema), Philemon Ndesamburo, akiwahutubia maelfu ya wakazi wa mji wa Moshi, waliojitokeza kwenye mkutano wa kampeni za mgombea urais kupitia chama hicho, Dk. Willibrod Slaa, uliofanyika kwenye Uwanja wa Mashujaa jana.


Mdogo mdogo baba mpaka kwa muganyizi

HIYO NDIYO TARIME BABA















MWANZA







GEITA





Na wateja wa tigo wamesha jumuishwa

WATU WAKIKUPIGIA WASIKIE NYIMBO ZA CHADEMA KWENYE SIMU YAKO FUATILIA HAPA

1. TIGO NENDA KWENYE SEHEMU YA KUANDIKA SMS ANDIKA 12608 AU 12609 AU 12610 TUMA KWENDA 15007 AU 15050

2.VODA NENDA KWENYE SEHEMU YA KUANDIKA SMS ANDIKA BUY 771 AU BUY 772 TUMA KWENDA 15577

3.ZAIN NENDA KWENYE SEHEMU YA KUANDIKA SMS ANDIKA BUY 7141 AU BUY 7142 AU BUY 7143 TUMA KWENDA 15578

AHADI TANO ZA KIZALENDO.

1.CHADEMA WOTE NI NDUGU ZANGU NA RAIS 2010-2015 NI SLAA
2.CCM NI ADUI WA HAKI.SITAKUBALI KUICHAGUA`WALA KUONGOZWA NAYO
3.NITAPIGA KAMPENI KWA KADRI YA UWEZO WANGU NA KUCHAGUA CHADEMA KWA FAIDA YA WATANZANIA WOTE.
4.AKILI NI MALI,SITATUMIA AKILI YANGU WALA MALI YANGU KUKAMPENI CCM.
5.NITASAMBAZA MESEJI HII KWA KADRI YA UWEZO WANGU ILI TULIKOMBOE TAIFA.
Mungu ibarikitanzania, Mungu mmbariki rais ajaye DR Slaa


SALA MAALUM.
Tusali kwa pamoja......
Asante Mungu kwa kuipenda Tanzania hata ukamtuma mwanamapinduzi wa pekee Dr. Slaa ili kila Mtanzania atakayempigia kura apate kuleta ukombozi wa kweli. Tazama umemtuma kwa wapenda haki ili patakatifu (ikulu) pawe na Amani, Sasa basi Mungu wasaidie watanzania wenzetu wasio na ujuzi wa kutambua nani kiongozi bora wamtambue kuwa amekuwa akidai haki zao yapata miaka 15, Mungu tuepushe na rushwa za vitenge, pombe, simu, Pikipiki na ahadi za uongo maana wewe hupendi uongo.

Ni katika jina la Mungu Baba tunaomba na kushukuru. AAAAAAAMEN!

CHADEMA OYEEEEEEEEEEEEEE!









Hatuoni
Hatusikii
Tunadanganyika kirahisi
Tunafuata mkumbo
BAADAE TUNALALAMIKA

Chagua CCM


Ofisi zetu
MAKAZI YETU

v


shule zetu
|
v


Darasani kwa watoto wetu
|
v


Huko vijijini-Dispensary
|
v



WAO WAKICHAGULIWA....
Ubalozi wa Tanzania Washington


Ofisi zetu za Bunge

|
v



|
v



Kuna cha kuongeza?
Sasa tucheze na hesabu 6,900,000/= kwa mbunge mmoja,zidisha mara miezi 12 then zidisha kwa miaka 5 = 414,000,000/= jumlisha 50,000,000/= anayopewa mara baada ya kumaliza miaka 5 = 464,000,000/= kwa mbunge mmoja.


464,000,000/= siko tayari kuzidisha fedha hii mara wabunge wote kwa miaka 5,calculator yangu itachanganyikiwa alafu niingie gharama ya kununua nyingine.











 
ingawa i,ekatika saaana, ila ni thread ya kimapinduzi sana.
 
sisi wa tanzania ni wajinga tena sana na huwa mimi binafsi inanikera na kuniuma sana maana tumekuwa wajinga kiasi kwamba tunaburuzwa
 
sisi wa tanzania ni wajinga tena sana na huwa mimi binafsi inanikera na kuniuma sana maana tumekuwa wajinga kiasi kwamba tunaburuzwa

chukua hatua,elimisha watu 100 tuokoe taifa letu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…