Jamani shilingi isiwe nzito kuigeuza upande wa pili juu ya madai ya katiba mpya

Jamani shilingi isiwe nzito kuigeuza upande wa pili juu ya madai ya katiba mpya

santiva

New Member
Joined
Dec 4, 2010
Posts
3
Reaction score
0
watanzania sasa wameamka kutoka usingizini kuidai katiba mpya inayoendana na hali halisi ya wakati uliopo lakini ni suala la kusikitisha kuwa watanzania walio wengi hata rangi ya katiba wanayoipiga vita kuwa imepitwa na wakati hawaijui je, hata kama wakibadilishiwa katiba hiyo kuna uhakika gani kuwa mambo hayatabaki kuwa yaleyale wanayoyakataa sasa hivyi? Hapa suala ka msingi ni kudai katiba hii iliyopo itafasiriwe kisha wagundue makosa yaliyopo katika katiba hii na sio kupiga kelele kwa kuwasikiriza wana siasa bila kupima uzito wa jambo ndio wasimame kwa miguu yao wakiwa wanajua wanachokidai kiko je, na wanacho kikataa kiko je.
 
watanzania sasa wameamka kutoka usingizini kuidai katiba mpya inayoendana na hali halisi ya wakati uliopo lakini ni suala la kusikitisha kuwa watanzania walio wengi hata rangi ya katiba wanayoipiga vita kuwa imepitwa na wakati hawaijui je, hata kama wakibadilishiwa katiba hiyo kuna uhakika gani kuwa mambo hayatabaki kuwa yaleyale wanayoyakataa sasa hivyi? Hapa suala ka msingi ni kudai katiba hii iliyopo itafasiriwe kisha wagundue makosa yaliyopo katika katiba hii na sio kupiga kelele kwa kuwasikiriza wana siasa bila kupima uzito wa jambo ndio wasimame kwa miguu yao wakiwa wanajua wanachokidai kiko je, na wanacho kikataa kiko je.

Taratibu kijana, naona umekurupuka kutoka usingizini kwani rangi ya katiba inaingiaje hapa ?
 
Back
Top Bottom