Jamani shilingi yetu inashuka balaa dhidi ya dolla ya Marekani

dronedrake

JF-Expert Member
Joined
Dec 25, 2013
Posts
23,901
Reaction score
58,103
Habari za mda huu wana jamii

kwa wenye ujuzi nini kina happen bongoland kwetu au kwa obama maana si kuporomoka uku kwa Tsh. dhidi ya dolari ndani ya siku 2 izi

1 dolari yaelekea 2500 TSh. kwa mdu huu
 
Tuwekee hapa exchange rates ya leo according to BOT.
 
Wewe sina uhakika kama unao mkojo wa kutosha kupimwa na mkemia mkuu
 
Habari za mda huu wana jamii

kwa wenye ujuzi nini kina happen bongoland kwetu au kwa obama maana si kuporomoka uku kwa Tsh. dhidi ya dolari ndani ya siku 2 izi

1 dolari yaelekea 2500 TSh. kwa mdu huu
Uchumi wetu ni wa kisiasa tena ya majukwaani!! Wa Kenya wanauza maua nje na dola inakuja kwa uwingi, sisi dhahabu wanauza acacia, samaki wanauza wahindi DOLA utaiona wapi?!
 
Haina madhara kwa Masikini kama wewe...!
Kwanza huna hata akiba ya Pesa Benki, mshahara wote wa October umekwisha lipia Madeni...!

Dola ya Kimarekani, imewahi kuwa sawa na Shilingi mia moja ya Tanganyika...!!

Umepata Madhira gani Kiuchumi mpaka sasa.

Shukuru Mchele na Sembe ama Ngano, vingali na bei ileile...!
 
Uchumi ndo una panda hivyo.
Lumumba tunaomba mjibu hoja kwa niaba ya mwenyekiti wenu
 
Kwani navyo (mchele/sembe) haviwezibkupanda kupitia hili??
 
YAHOO EXCHANGE BEI NI 220,221 ? nimechek ss hivi bei niyo sidhani kama itapanda kwa 3000? kwa week moja
 
Kwa kuwa tunatumia dola kwa manunuzi ya bidhaa nyingi tarajia mfumoko wa bei ktk bidhaa za electronic ,medicine na magari nk.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…