jamani STAR TIME STAR TIMe wizi mtupu

jamani STAR TIME STAR TIMe wizi mtupu

ngoshwe

JF-Expert Member
Joined
Mar 31, 2009
Posts
4,131
Reaction score
937
Wakuu hii habari ya ving'amuzi ni kero unaweza hata kupiga mtu. Yaani king'amuzi kinarusha picha inanatia kama wale jamaa wa Temeke. Hata ukirekebisha baada ya muda mnato unaendelea,habari zina katika katika. Kwa kweli TACRA japo nanyi mnahamasisha kununua ving'amuzi vya Star Time, wananchi vinatuumiza na hakuna "value for Money". Hii ni kero kubwa.
 
Wakuu hii habari ya ving'amuzi ni kero unaweza hata kupiga mtu. Yaani king'amuzi kinarusha picha inanatia kama wale jamaa wa Temeke. Hata ukirekebisha baada ya muda mnato unaendelea,habari zina katika katika. Kwa kweli TACRA japo nanyi mnahamasisha kununua ving'amuzi vya Star Time, wananchi vinatuumiza na hakuna "value for Money". Hii ni kero kubwa.

Nunua antenna funga nnje kwa maeneo ambayo signal zinasumbua..Ni kitu cha kawaida sana channels ku scratch. Issue ni kwamba kuna baadhi ya sehemu zinahitaji uweke antenna ya nnje zingine haina haja unatumia ile antenna ya V kwa ndani. Fanya hivyo ikashindikana ndio u complain.
 
Wakuu hii habari ya ving'amuzi ni kero unaweza hata kupiga mtu. Yaani king'amuzi kinarusha picha inanatia kama wale jamaa wa Temeke. Hata ukirekebisha baada ya muda mnato unaendelea,habari zina katika katika. Kwa kweli TACRA japo nanyi mnahamasisha kununua ving'amuzi vya Star Time, wananchi vinatuumiza na hakuna "value for Money". Hii ni kero kubwa.
suhame uje zuku
 
Back
Top Bottom