Jamani tuamke (ujumbe kutoka SUA)

Ndio maana jamii forum iko juu zaidi
Safiiiiiiiiiiiiiiiiiiioooooo. Haswa Robby mkuu tunashukuru kwa mada mkuu.
 
Mkuu umemwaga pumba!! Yaani pumba LA uhakika!

Lakini nikawa najishangaa mwenyewe, mbona hili pumba linamezeka? Mwenye masikio na asikie, mwenye macho na aone, mwenye ubongo na aelewe! Mimi Mkuu nilishawahi 38 zangu ziko Kasuluuuu!! Tusijeonana wabaya aisee!!
 
Mwanzoni wakati nasoma sikuelewa hii mada
pindi nilivyokuwa naendelea kusoma zaidi ndo nikaelewa

hongera sana mkuu hebu nami ntafutie hekali 5 huko nianze kilimo kwanza
maan anasikia kinalipa sana siku hzi bestito
 
yaani ubarikiwe kwa kutukumbusha. Huku mitaani pia foreigner wamejenga kwa vigezo vya ndoa na dada zenu. Wakifungulia kabisa tumekwisha. Ngoja namie nijazie kidogo
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…