mtamanyali JF-Expert Member Joined Dec 6, 2011 Posts 1,161 Reaction score 613 Feb 3, 2012 #1 Hivi ni kweli serikali haijatuma pesa za kujikimu na nauli kwa walimu wapya? Mbona nasikia halmashauri zingine wamelipwa!
Hivi ni kweli serikali haijatuma pesa za kujikimu na nauli kwa walimu wapya? Mbona nasikia halmashauri zingine wamelipwa!
Ziltan JF-Expert Member Joined Aug 20, 2011 Posts 2,672 Reaction score 6,880 Feb 3, 2012 #2 Hii kazi ya ualimu naiona mbayaa! Ndugu yangu ndo hivyo wanafanya wanavyojisikia bila kujali utaratibu, ukiwaona kwenye vyombo vya habari akina Kasimu majaliwa wanavyohadaa hiki kizazi, sina hamu na hii kazi
Hii kazi ya ualimu naiona mbayaa! Ndugu yangu ndo hivyo wanafanya wanavyojisikia bila kujali utaratibu, ukiwaona kwenye vyombo vya habari akina Kasimu majaliwa wanavyohadaa hiki kizazi, sina hamu na hii kazi