Jamani tujadiliane na hili la personal space

yani pinkie mimi nikiona hata dada akikatizakatiza najionea shida tupu. sitaki kabisa vurugu nikiwa home
 
Nikikaa peke yangu for more than 2 hrs lazima ntalia,sipendi na siwezi kabisa
 

Hahaha..... me lyk it.
 
hahaaaa, hapo kwenye majina sasa, as long as am not pretending to be someone else na nashiriki mambo ya msingi ya kijamii wacha waite majina yote tu
 
Nikikaa peke yangu for more than 2 hrs lazima ntalia,sipendi na siwezi kabisa

hehehehe! Mi huwa nalia kabisa. Bora kuwe japo na mtu mmoja hata kama sitomwongelesha muda wote lakini najua nitakapohitaji kufanya hivyo yupo wa kunisikiliza.
 
hahaaaaa, yani kama hapa nafurahia my personal space ndani ya JF,furahia sunday iliyobaki
 
yani msg well delivered, ndio raha ya majadialiano
 
nimekupata, saa nyingine hii tabia watu hawaielewi kapsaaa
 
I loooooove my personal space.
Napenda kuwa huru kufanya kile nnachojisikia kwa namna nnayojisikia pale nnapojisikia.

Though hua nafurahia marafiki kunitembelea from to time ila mtu akishakaa wiki basi naanza kuboreka nae.
Kwahiyo wewe bwana furahia nafasi yako yako wala usisumbuke na majina.Bora uwe mbinafsi kwa watu wengine kuliko kwako mwenyewe.
 
I think I am bit of a loner so I have no problem with having a lot of 'me' time. But then again too much of anything is not good.

So I always try to find a happy medium between being all alone and mingling with others.
 

Got you Lizzy!
 
personal space muhimu. Tena mie Sometime natoka mwenyewe naenda mahali tulivu nikae na kutafakari. Kawaida kuna wakati wa kusocialize, kuna wakati wa kuwa na familia lakini kuna wakati nafsi huitaji kuwa mwenyewe
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…