Jamani tunaoomba kazi tuwe makini



Nadhani either wewe si Mzanzibari au ni mbara ambae haijui Zanzibar, kwani hilo mbona si tatizo kabisa Zanzibar ukizingatia ile ni nchi ya 90% ya wakaazi wake ni waislamu, hebu angalia hata hao wakuu wake wa nchi wakati mwengine huvaa hivo unavovizungumzia ispokuwa mawani ya jua hili NAKUKATLIA KABISA! na hayo yalobaki sidhani kama ni tatizo kutokana na mila na desturi za kule. kwani tatizo ni kuvaa au kichwani kuwe kuzuri? umeshaenda pakistani wewe uone watu wanavovaa? panjabi maofisini, na je kule bara arabu umeona wanavaa nini? kanzu ! tatizo liko wapi? au ndio unataka kukashifu ! hebu kuweni wastaarabu kwanza, mtoa mada amesema mengine na wewe unaanza mengine, KWANI KATIKA KILA MADA LAZIMA KUBEZA ? na kama huna cha kucomment kuna ubaya gani kukaa kimya?
 

hapa mimi simo!
 

Sisi tunaosoma between the line tumemuelewa vizuri. Vp mwenzetu uko kwenye daladala?
 

hizo sandals unajua zinavyoitwa babu....................wenyewe wanaita RAHAULA...........zanj hakuna kujishughulisha sana bwana kila ki2 mdebwedo
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…