Jamani Tuseme ukweli, humu Jf hatujuani ila watu wazima ni wengi kuliko vijana

Sitorudia kuonana na mwana Jf wa kike hata mmoja. Kila nayemuibukia kanizidi umri kuanzia 4yrs. Bora hawa mabro tuliofahamiana nao.
Midem mingi ya JF singo maza haina mwelekeo wa maisha ya ndoa.
Muelekeo wa maisha upoje ?
 
Umli=umri...next time usirudie kucontradict R na L
 
Sitorudia kuonana na mwana Jf wa kike hata mmoja. Kila nayemuibukia kanizidi umri kuanzia 4yrs. Bora hawa mabro tuliofahamiana nao.
Midem mingi ya JF singo maza haina mwelekeo wa maisha ya ndoa

unanitukana kilugha
ngoja nikuspee!
 
Sitorudia kuonana na mwana Jf wa kike hata mmoja. Kila nayemuibukia kanizidi umri kuanzia 4yrs. Bora hawa mabro tuliofahamiana nao.
Midem mingi ya JF singo maza haina mwelekeo wa maisha ya ndoa.
Uliambiwa ndoa lazima,we mbona hujaoa nawe huna maana,sisi single mom tumekukosea nini kwenu hakuna walozalishwa huko tukiwa na ndoa we unafaidika nini
Watu wengine bana
 
wanaume weng sana sana akikupa histry yake ya utoton atakuambia mama alifight sana kunilea... ding hakuwa akisomeka!leo hii haya haya malonyalonya yanakashifu single moms!
angalia wanamuziki weng wamekuwa raised na single parent! matako yake km chips

Uliambiwa ndoa lazima,we mbona hujaoa nawe huna maana,sisi single mom tumekukosea nini kwenu hakuna walozalishwa huko tukiwa na ndoa we unafaidika nini
Watu wengine bana
 
wanaume weng sana sana akikupa histry yake ya utoton atakuambia mama alifight sana kunilea... ding hakuwa akisomeka!leo hii haya haya malonyalonya yanakashifu single moms!
angalia wanamuziki weng wamekuwa raised na single parent! matako yake km chips
Acha tu ,vikitongoza humu wanawake vikakosa hasira zinakuwa nyingi ,wakati single mom wengine ni msaada mkubwa tu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…