DiasporaUSA
JF-Expert Member
- Aug 27, 2016
- 23,382
- 29,639
Muelekeo wa maisha upoje ?Sitorudia kuonana na mwana Jf wa kike hata mmoja. Kila nayemuibukia kanizidi umri kuanzia 4yrs. Bora hawa mabro tuliofahamiana nao.
Midem mingi ya JF singo maza haina mwelekeo wa maisha ya ndoa.
Hahahaha sasa kama Mimi hapa JF ni mwaka wangu wa kumi, utafikiri Nitakua na miaka mingapi? Under 18??
Nimesema maisha ya ndoa sio kiuchumiWewe una mwelekeo wa maisha?
ngoja nikuspee!Sitorudia kuonana na mwana Jf wa kike hata mmoja. Kila nayemuibukia kanizidi umri kuanzia 4yrs. Bora hawa mabro tuliofahamiana nao.
Midem mingi ya JF singo maza haina mwelekeo wa maisha ya ndoa
unanitukana kilugha
Labeka, nimekuitika mpenzi.Haaaaa babu Asprin eeee [emoji16][emoji16][emoji16][emoji16]
Hujui mimi ni babu yenu?😛😛😛😛 utambe
Uliambiwa ndoa lazima,we mbona hujaoa nawe huna maana,sisi single mom tumekukosea nini kwenu hakuna walozalishwa huko tukiwa na ndoa we unafaidika niniSitorudia kuonana na mwana Jf wa kike hata mmoja. Kila nayemuibukia kanizidi umri kuanzia 4yrs. Bora hawa mabro tuliofahamiana nao.
Midem mingi ya JF singo maza haina mwelekeo wa maisha ya ndoa.
Shangaaa watu wengine midomo juu kweliWewe una mwelekeo wa maisha?
kama utanizidi age wewe walah mm nakufa!Hujui mimi ni babu yenu?
Kumbeee aitheeeKweli watu wazima tupo wengi sana
Uliambiwa ndoa lazima,we mbona hujaoa nawe huna maana,sisi single mom tumekukosea nini kwenu hakuna walozalishwa huko tukiwa na ndoa we unafaidika nini
Watu wengine bana
Acha tu ,vikitongoza humu wanawake vikakosa hasira zinakuwa nyingi ,wakati single mom wengine ni msaada mkubwa tuwanaume weng sana sana akikupa histry yake ya utoton atakuambia mama alifight sana kunilea... ding hakuwa akisomeka!leo hii haya haya malonyalonya yanakashifu single moms!
angalia wanamuziki weng wamekuwa raised na single parent! matako yake km chips
kanikera sana!Acha tu ,vikitongoza humu wanawake vikakosa hasira zinakuwa nyingi ,wakati single mom wengine ni msaada mkubwa tu
Halaf kuna wanaume humu wa maana sana na wanatuheshimu kweli vinyamkera sasa midomo juukanikera sana!
vinasaidiwa had matibabu vinakuja toa uharohapa mxiewHalaf kuna wanaume humu wa maana sana na wanatuheshimu kweli vinyamkera sasa midomo juu