Unique Flower
JF-Expert Member
- Apr 19, 2019
- 12,838
- 25,282
Kakimbia katuachia tupigane wenyewe🤣🤣🤣✋🏽Katoka 😂
😂Kakimbia katuachia tupigane wenyewe🤣🤣🤣✋🏽
Na adabu pia Wii😂😂🤣🤣🤣 wii huyu jamaa jinga sana
[emoji16][emoji1787][emoji16]Wee kmmk,
Kwanini husali,
Mpaka usaliwe,
Bangi sio salama,
Jitahidi usali,
Huo ndo usalama…!! [emoji443] [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Aimbiwe piano tu hakuna namna 🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣Nilicheka hii
Wii na mm nikasema ngoja nione challenge itaendaAimbiwe piano tu hakuna namna 🤣🤣🤣
Mwenzio challenge imekubali sijui kwa vile napenda kucheza 🤣🤣🤣🤣Wii na mm nikasema ngoja nione challenge itaenda
Nikasimama kwenye kioo nikajaribu kutikisa bega wee acha ligome🤣🤣🤣🤣🤣
Khe hongeraMwenzio challenge imekubali sijui kwa vile napenda kucheza 🤣🤣🤣🤣
Sema ningekuwekea uone nilivyoua mpk dada mwenyewe kanikubali 🤸♀️
Wanaitikia mama amina weee au😁😁😁Hivi ule wimbo wanaitikiaje? Mama Aminaaaa..,,,,,(mleta mada)
Eyes mkuuNimeipenda people , they like to hear negativity on their eyes
🤣🤣🤣🤣 wii sitaki kucheka, km umezoea kucheza ni simple tu ile step haina uzito wowote..!! Sauti ya kuimba ninyimwe na kucheza pia wee sio kweli.Khe hongera
Mm had nilitaka kukata mabega sio Kwa mvurugano ule yakienda mabega shingo imegoma ukikubali shingo miguu haisogei 🤣🤣🤣Nilicheka balaa
Huwa nasikia uma mamaakoHivi ule wimbo wanaitikiaje? Mama Aminaaaa..,,,,,(mleta mada)
Niwekee mimi piemu😂Mwenzio challenge imekubali sijui kwa vile napenda kucheza 🤣🤣🤣🤣
Sema ningekuwekea uone nilivyoua mpk dada mwenyewe kanikubali 🤸♀️