Likiisha hili linaanza hili. Enyi viongozi wa juu si mufungue macho muone yanayoendelea mjitoe tu,jamani wahurumieni hao FFU maana daily wako na mabomu, waacheni wapumzike hata wiki wakahudumie ndoa, maana kwa mpango huu weza wakapigiwa wake zao, daily wako vitani.