Kubadili kozi ufanyika vyuoni lakini kubadili chuo hii sina uhakika sana lakini ukiwapigia TCU wana majibu mazuri zaidi mana walitoa nafasi hiyo ila muda ulishakwisha.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.