Jamani wa SAUT na wengine kwa hili nisaidieni plz.

Safhat

JF-Expert Member
Joined
May 19, 2012
Posts
270
Reaction score
25
Ivi deadline ya kuripoti kwa first year SAUT ni lini?
Maana mm nilichaguliwa uko bila ya kujua na mkopo wng umepelekwa uko uko.na kwa sasa nishalipia cost zte za udom, uku nasubr tcu watangaze majina ya waliohamishiwa vyuo.
Sasa km sitokuwemo ktk majina hayo nataka nirud SAUT ivi itawezekana?na udom wanaweza kunirudishia pesa zangu?
Naomben mnisaidie wanajf.
 
Udom pia nlikua admitted na ndio nloiyona kwny profile yng na kuanza kufatilia process zke za kujiunga,admission nk. saut nimejua baada ya kutoka mkpo.na ivo saut hawakunletea ata admissiön.ila bada ya kutoka mikopo kuangalia jina langu limo.ndo apo nkachangankiwa coz nlishalipia ada ya udom.
Umenipata apo?
 
kwa udom uwezekano wa kurudishiwa hela zako upoo ila utasumbuka sana but you may try your best! ila kama utakuja itakubidi usubiri mpaka wanafunzi wote wamalize usajili than u may com

na cha kuongezea kama utaamua kwenda udom na mkopo uko saut utapata tabu kwa muda usiojulikana coz process za kuhamisha mkopo ni ndefu au kama nini anza kutoka mbio sasa ivi kabla ya kufika chuoni
 

sasa mkuu unanshaurh nin?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…