Jamani wadau nhif wametoa shortlist ya interview nunua mwananchi la leo 08.08.2012

Jamani wadau nhif wametoa shortlist ya interview nunua mwananchi la leo 08.08.2012

Qulfayaqul

JF-Expert Member
Joined
Apr 10, 2008
Posts
480
Reaction score
84
Mwananchi wametoa shortlist ya walioomba kazi katika gazeti la mwananchi la leo tarehe 08.08.2012. Ila hawajatoa majina wametoa condition tu za wanaoitwa kama:

1. Muombaji lazima awe na umri usiozidi miaka 40.
2. Muombaji lazima awe aliomba kwa kutumia barua iliyoandikwa kwa mkono.
3. Lazima awe aliambatanisha picha ya pasport size.
Na vingine vingi nimevisahau. Hebu jaribu kununua gazeti la mwananchi la leo 08.08.2012
 
Asante kwa taarifa. Ila tatizo sikumbuki niliomba nafasi ipi. Naombeni ushauri, nifanyeje?
 
mkuu! nashukuru! juzi nilituma thread yangu kuuliza vipi nhif! wadau wakaipotezea! habari hizo ziko mwananchi! tutafuteni huli gazeti tusome! mana nimeona ishu ya kuwa na masters degree! sijawaelewa! ivyo tufafanuliane
 
Hivi hiki kigezi kwamba barua iwe imeandikwa kwa mkono kinazingatia viwango/kanuni gani?
 
Hivi hiki kigezi kwamba barua iwe imeandikwa kwa mkono kinazingatia viwango/kanuni gani?

sijajua sana! ila wakati tunafanya maombi,walituambia ni lazima barua iandikwe kwa mkono!
 
Thanks mkuu, Mungu akuzidishie yote yaliyo ya kheri
 
Mwananchi wametoa shortlist ya walioomba kazi katika gazeti la mwananchi la leo tarehe 08.08.2012. Ila hawajatoa majina wametoa condition tu za wanaoitwa kama:

1. Muombaji lazima awe na umri usiozidi miaka 40.
2. Muombaji lazima awe aliomba kwa kutumia barua iliyoandikwa kwa mkono.
3. Lazima awe aliambatanisha picha ya pasport size.
Na vingine vingi nimevisahau. Hebu jaribu kununua gazeti la mwananchi la leo 08.08.2012

makubwa haya.
 
Kwa kweli hii issue ya NHIF imekaa kihuni sana ni vipi unautangazia umma kwamba waombaji wenye masters walioomba wasihudhurie? Hii issue ni ya kwanza kuiona na kuisikia tena kupitia agency kubwa ya serikali....hapa lazima kieleweke nitaandika barua nhif na kuicopy utumishi, public service commission na wizara ya afya kulaani taratibu za kikandamizi na zisizo na tija kama hizi....sasa wakati serikali inahimiza watanzania tusome ili tuongeze ujuzi hawa wanasema waliosoma sana hawaitajiki bila shaka watakuwa ni wazee wa zamani wanye "vijanaphobia" katika soko la ajira....shame on them NHIF...nimekwazika sana sana sana..aaagh!!!
 
Kwa kweli hii issue ya NHIF imekaa kihuni sana ni vipi unautangazia umma kwamba waombaji wenye masters walioomba wasihudhurie? Hii issue ni ya kwanza kuiona na kuisikia tena kupitia agency kubwa ya serikali....hapa lazima kieleweke nitaandika barua nhif na kuicopy utumishi, public service commission na wizara ya afya kulaani taratibu za kikandamizi na zisizo na tija kama hizi....sasa wakati serikali inahimiza watanzania tusome ili tuongeze ujuzi hawa wanasema waliosoma sana hawaitajiki bila shaka watakuwa ni wazee wa zamani wanye "vijanaphobia" katika soko la ajira....shame on them NHIF...nimekwazika sana sana sana..aaagh!!!

lakini qualifications si zilisema degree of .....! au ikiwa ni degree mtu wa maters na phd anaruhusiwa tu kuapply, naomba unijuze hapo! siunajua wengine sie fresh from school mkuu!
 
1. kama umri umezidi 40 usiende
2. kama application latter hukuandika kwa mkono usiende
3. kama hukuweka picha usiende
5. kama unayo masters usiende except kwa post ya risk officer
6.kwa post za udereva kama elimu yako chini ya form four usiende
7. post of quality assurance officer applicants who are not medical doctors
8. post of risk officer applicants hawe na uzoefu wa sio chini ya 3 years
9.post of senior admini, senior HR applicants kama hauna degree au diploma ya human resource, public admin, sociology usiende, na pia huwe na experience ya miaka angalau mitatu.
nimescan page ya hilo gazeti but nashindwa jinsi yakuwawekea labda mtu anielekeze
 
1. kama umri umezidi 40 usiende
2. kama application latter hukuandika kwa mkono usiende
3. kama hukuweka picha usiende
5. kama unayo masters usiende except kwa post ya risk officer
6.kwa post za udereva kama elimu yako chini ya form four usiende
7. post of quality assurance officer applicants who are not medical doctors
8. post of risk officer applicants hawe na uzoefu wa sio chini ya 3 years
9.post of senior admini, senior HR applicants kama hauna degree au diploma ya human resource, public admin, sociology usiende, na pia huwe na experience ya miaka angalau mitatu.
nimescan page ya hilo gazeti but nashindwa jinsi yakuwawekea labda mtu anielekeze
ntajie page mkuu katika hilo gazeti
 
Ukweli kama ndo masharti hayo ajira haikutangazwa bali kutuzingua vigezo vipo kinyume na tangazo sasa kuna ajira hapo au tayari walikwisha chukuana wanataka wakatuone tulivyo choka.
 
Am sorry, lakini kwa mtazamo wangu sijawahi kusikia tangazo la KIVIVU kama hilo! Si wawape recruiting agent awafanyie kazi ya kueleweka?

Mara ya kwanza nilisikia waliwaita kwenye written interview pale baraza la maaskofu, au sio hawa? Kwa hiyo hiki kinachosemwa hapa ndio walicho-short list?
 
Back
Top Bottom