Jamani wakuu niombeeni nifanikishe

Updates
Kwa uchungu sana nimeambulia patupu .Nina hasira sana nipo napiga bapa mbili kwa hasira
 
Nipo hotelini nishalipia kila kitu namsubir Shemeji yenu ndio Mara ya kwanza ila naona muda unaenda na yeye atokei .. sijapgwa changa la macho kweli
Tukuombee jambo hilo kweli?binadamu bhana
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…