mienzi sita ujalipwa na unaendelea kufanya kazi kama kawaida duh,tatizo la ajira linasababisha hao waajiri waachukulie poa ,kwa kua wanajua hauana pakukimbilia ,ebu mpelekee barua ya kuacha kazi na ya kumshataki uone kama hajakulipa chap,mkataba wenu ukoje?