jamani wanaume tumekuwa adimu

wanawake wangukuwa wachache pangekuwa hapatosh hapa duniani,ful watu kuuwana,ugomvi daily kugombea mbunyeee,mungu ana makusudu yake kuwafanya wawe wengi ona hata takwimu hospitalini katika watoto 10,wawili tu ndo vidume,,,,,,,napenda sana hii kitu
 
leo nlikua kwenye foleni asubuh..jamaa wanashindana kugawa vipeperushi vya Nguvu za kiume...ni dalili mojawapo kuwa wanaume tupo wachache bado pia idadi ya wasio rizki imeongezeka..purely wanaume tupo wachacheeee
 
Juzi nasafiri wanaume kwenye basi tupo kama 11 kati 60.Nikajiuliza ni wanaume ndo wanazidi kwisha au.Hii sijui inaashiria labda wanawake 10 kwa 1 mwanaume
 
:hippie::A S angry::doh::target:😱hwell::smile::bowl::rofl::A S 41::mad2:πŸ™:bathbaby::rolleyez::crying::whip::glasses-nerdy::A S-cry::lalala::A S-heart-2:πŸ˜›layball::censored::shut-mouth::A S shade:
 
wanaume wanaojua uanaume ni wachache...NI KWELI
lakin wanaume wenye kukojoa uku wamesimama na kuvaa boksa ni weeeeeeeeeeeeeeeeeeeng sana mpk wengne wanajiuza



km ilivyo wanawake wenye ukike ni wachache
lakin wanawake wavaa shanga wapo kibaooooooooooooooooooo mpk wengne wapo sokon:hippie:
 
Juzi nasafiri wanaume kwenye basi tupo kama 11 kati 60.Nikajiuliza ni wanaume ndo wanazidi kwisha au.Hii sijui inaashiria labda wanawake 10 kwa 1 mwanaume


du unachekesha...unahesabu wanaume kwa kutumia kigezo cha WAVAA SURUALI?
wanaume matendo kaka....labda ao woooooooooote uliowaona mwanaume yupo 1 wngne woooooooooooote:target::target:
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…