Prof Gamba
JF-Expert Member
- Jun 10, 2011
- 390
- 266
wanaume wanaojua uanaume ni wachache...NI KWELI
lakin wanaume wenye kukojoa uku wamesimama na kuvaa boksa ni weeeeeeeeeeeeeeeeeeeng sana mpk wengne wanajiuza
km ilivyo wanawake wenye ukike ni wachache
lakin wanawake wavaa shanga wapo kibaooooooooooooooooooo mpk wengne wapo sokon:hippie:[/QUOT
Duh!!! we mdada, hata hutaki kupunguza ukali wa maneno.
wanawake wangukuwa wachache pangekuwa hapatosh hapa duniani,ful watu kuuwana,ugomvi daily kugombea mbunyeee,mungu ana makusudu yake kuwafanya wawe wengi ona hata takwimu hospitalini katika watoto 10,wawili tu ndo vidume,,,,,,,napenda sana hii kitu
du unachekesha...unahesabu wanaume kwa kutumia kigezo cha WAVAA SURUALI?
wanaume matendo kaka....labda ao woooooooooote uliowaona mwanaume yupo 1 wngne woooooooooooote:target::target:
yaani we acha tu........
wanaume wanaojua uanaume ni wachache...NI KWELI
lakin wanaume wenye kukojoa uku wamesimama na kuvaa boksa ni weeeeeeeeeeeeeeeeeeeng sana mpk wengne wanajiuza
km ilivyo wanawake wenye ukike ni wachache
lakin wanawake wavaa shanga wapo kibaooooooooooooooooooo mpk wengne wapo sokon:hippie:
Ama unaponda mdada, utafikiri ushawaona wanaume wote na sasa ndo unatoa analysis. Mwanaume ni mwanaume tuu, labda kama mnataka kuwaunganishia humohumo na wavulana/wa kiume.
du unachekesha...unahesabu wanaume kwa kutumia kigezo cha WAVAA SURUALI?
wanaume matendo kaka....labda ao woooooooooote uliowaona mwanaume yupo 1 wngne woooooooooooote:target::target:
du unachekesha...unahesabu wanaume kwa kutumia kigezo cha WAVAA SURUALI?
wanaume matendo kaka....labda ao woooooooooote uliowaona mwanaume yupo 1 wngne woooooooooooote:target::target:
apana .nakataa et mwanaume ni mwanaume
apana .nakataa et mwanaume ni mwanaume tu mhh hell nooooooooooooooooo....so mwanaume shoga ni sawa na mwanaume wa kawaida?
mwanaume mlev..anampga mkewe ajali family ni sawa na yule anayejali famil?
kuna magrade ya wanaume ..SIO KILA MVAA SURUALI NI MWANAUME...ndoa apo penye WANAUME NI WACHACHE TENA WACHACHE SANA...weng wenu magume gume tu:rolleyez:
Wanaume suruali ndio wengi....
Mwanaume matendo yapi hayo unayowaza wewe tatizo mmefanya kama chakula wakati watu wanawaza maendeleo. Kaeni hivyo hivyo na mapepo yenu na bora warudishe kukeketa.
wanaume mikia make suruali hata sie tunavaa cku hz
Hata kama utawa grade lakini uanaume wao utabaki pale pale, hizo zingine zinabaki kuwa tabia za watu tuu, kitu ambacho haiwezekani watu wote wakawa na tabia moja na hasa uipendayo wewe. Kwani mlevi hana joka la kibisaaaa???? maana ndo uanaume unaanzia hapo.
Lakinim mzee mwenzangu usilolijua ni kwamba......................Kuna ongezeko kubwa la MASHOGA..........Hilo unalionaje?
Wewe mtoto Jogoo halei vifaranga.
Kazi ya mwanaume ni moja kuchukua kojoleo lake na kuchomeka panapo husika.