Ebu fikiria unamtongoza mwanamke anaonekana naye amekupenda inafika mahali anakwambia hivi kweli wewe utanitoshereza huduma zangu????!!!Utaweza kunihudumia??wakatu mwanzoni hakuuliza swali hilo??Kwanini mnatanguliza maslahi kabla ya upendo kwanza??
Kwa uelewa wangu mfinyu hapa anamaanisha kwamba huduma ambazo huwa anatoa wewe utaweza kuzipokea bila matatizo? Maana asije akakukubalia halafu akitaka akupe huduma unaanza kujikanyagakanyaga. Huduma anazo ameziandaa kwa ajili yako, na si kwamba wewe unatakiwa umhudumie hapana. Wewe unatakiwa uandae stoo tu ya kuzitunza pahala panapostahili!Ebu fikiria unamtongoza mwanamke anaonekana naye amekupenda inafika mahali anakwambia hivi kweli wewe utanitoshereza huduma zangu????!!!Utaweza kunihudumia??wakatu mwanzoni hakuuliza swali hilo??Kwanini mnatanguliza maslahi kabla ya upendo kwanza??
Mhmm kizungu mkuti wanaewake wasiku hizi hiyo ni alfulela hulela!!Kwa uelewa wangu mfinyu hapa anamaanisha kwamba huduma ambazo huwa anatoa wewe utaweza kuzipokea bila matatizo? Maana asije akakukubalia halafu akitaka akupe huduma unaanza kujikanyagakanyaga. Huduma anazo ameziandaa kwa ajili yako, na si kwamba wewe unatakiwa umhudumie hapana. Wewe unatakiwa uandae stoo tu ya kuzitunza pahala panapostahili!
Kwa uelewa wangu mfinyu hapa anamaanisha kwamba huduma ambazo huwa anatoa wewe utaweza kuzipokea bila matatizo? Maana asije akakukubalia halafu akitaka akupe huduma unaanza kujikanyagakanyaga. Huduma anazo ameziandaa kwa ajili yako, na si kwamba wewe unatakiwa umhudumie hapana. Wewe unatakiwa uandae stoo tu ya kuzitunza pahala panapostahili!
Ebu fikiria unamtongoza mwanamke anaonekana naye amekupenda inafika mahali anakwambia hivi kweli wewe utanitoshereza huduma zangu????!!!Utaweza kunihudumia??wakatu mwanzoni hakuuliza swali hilo??Kwanini mnatanguliza maslahi kabla ya upendo kwanza??
but kuhudumiwa ni muhimu jamani ,hata kama mwanamke anauwezo huwa tunapendwa kuhudumiwa uking'ang'ania true love utabaki unafua,unapika na kusonga ugali nk lakini wenzio nje wanafaidi kiulaini
Na tatizo la kutokuwa na ukwasi ni la mtu binafsiKweli milioni ushahidi!!!
Ebu fikiria unamtongoza mwanamke anaonekana naye amekupenda inafika mahali anakwambia hivi kweli wewe utanitoshereza huduma zangu????!!!Utaweza kunihudumia??wakatu mwanzoni hakuuliza swali hilo??Kwanini mnatanguliza maslahi kabla ya upendo kwanza??