Jamani watanzania wenzangu msaasa jamani wa haraka.

Jamani watanzania wenzangu msaasa jamani wa haraka.

kajuka

JF-Expert Member
Joined
May 9, 2013
Posts
601
Reaction score
229
wataalam wa lugha ya kiswahili hasa kiswahili fasihi, naomba msaada wa uzuri na dosari za uainishaji wa ushairi wa Lamu na Mombasa.
 
Huyo LAMU ndo nani kwanza!? je ni raia halali au mhamiaji haramu!??
 
makubwa; tumezoea kiswahili fasaha, leo tena kiswahili fasihi hata hivyo watakuja wataalam wakupatie msaada zaidi kwenye hii mada yako;

kwa upande wangu moja ya faida kama ilivyo kwa ulinganishi/mashindano yoyote ni kukuza ubora wa fasihi husika ktk jamii hiyo na pia kujenga umiliki wa utamaduni fulani ndani ya jamii hiyo mfano mashairi ya Mombasa yana vionjo vya namna hii, tofauti kabisa na radha ya yale ya Lamu

Kwa upande wa dosari ni kwamba kama uandishi haufafani ni vigumu kulinganisha vitu vya namna hiyo na nyingine ni kuwa yaweza kuleta vurugu na kutoelewana ktk jamii husika hasa ikiwa upande mmoja utaonekana uko juu ya mwingine na wakati ambapo upandeshindwa hauridhiki.
watakusaidia wataalam wa kiswahili.
 
shukrani Mr, kipimo umenipa mwanga ila kama unaweza kuperuzi zaidi nakaribisha mchango wako tena.
 
Back
Top Bottom