Jamani watz sasa kufutwa uchaguzi wa kenya kunahusiana nini na wenger

Kajolijo

JF-Expert Member
Joined
May 30, 2016
Posts
3,364
Reaction score
4,612
Watanzania hii sasa ni too muchi, kuna watu wanapita kwenye mitandao ya kijamii wakilalamika eti kocha wa arsenal amechangia kufutwa kwa matokeo ya uchaguzi nchini kenya... emu tumhurumie huyu mzee wana arsenal jaman
 
wenger mnamuandama kila kukicha mashabiki wa arsenal mtawaua aiseeh
 
[emoji3] [emoji3] [emoji3] [emoji3] [emoji3]

Ai kotoni ende mai kondisheni...
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…