Jamani Wenyeji humu JF, Hodiiiiiiiiiiiiii.

Joined
Aug 29, 2012
Posts
12
Reaction score
0
Nawasalimuni sana wapendwa waungwa wanzangu.
Nimekuwa mtu wakusoma juu juu tu hii JF, nikatamani sana nami niwe mndani wa page hii ya Jf. Naomba mnipokee ndugu zanguni.
 
Pita ndani mgeni, naomba nikupokee mzigo.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…