Hapo mwakani tena sasa hivi dead line za vyuo zishapita! Kwa ngazi gani mkuuhakuna chuo chochote cha private nimpeleke kijana wangu
certificate mkuu,kuna tangazo la chuo cha KAM niliona channel ten juzijuzi tu ngoja nitafute mawasiliano yao ni waulize.Hapo mwakani tena sasa hivi dead line za vyuo zishapita! Kwa ngazi gani mkuu
Niliomba muhimbili diploma sikuchaguliwa,niliomba wizara hawajanichagua,nimejaribu kutuma maombi ya pili muhimbili private sponsership form 4 physics C,Biology C,chemistry C na form 6 physics f,biology E,chemistry E,..Yaani sijui kama muhimbili watanichukua kwa awamu ya pili!na muhimbili competition ni kubwa?je nifanyeje mimi?wadau naomba msaada wa mawazo please!thanx!
Jamani naombeni msaada augustino yangisoni mbuba
Niliomba muhimbili diploma sikuchaguliwa,niliomba wizara hawajanichagua,nimejaribu kutuma maombi ya pili muhimbili private sponsership form 4 physics C,Biology C,chemistry C na form 6 physics f,biology E,chemistry E,..Yaani sijui kama muhimbili watanichukua kwa awamu ya pili!na muhimbili competition ni kubwa?je nifanyeje mimi?wadau naomba msaada wa mawazo please!thanx!
Kwel life isnt
fair!Nimepata MUHAS bt nimekoswa kbs fedha kidogo ya kufanyiwa regis na
leo ndo mwsho!Ingawa nikosponsord
Wewe hufai kuwa dakitari.Unapoteza muda wako huko. Ukilazimishs sana unaweza kupata ila utakuwa daktari muuaji (mtoa mimba n.k.). Tafuta kozi laini laini kama record keeping n.k.
No kaka mpaka sasa nipo tu!Plans zimefail.Leo ilikuwa deadline.ram said:pole hope ulifanikiwa kupata hela
Kwel life isnt fair!Nimepata MUHAS bt nimekoswa kbs fedha kidogo ya kufanyiwa regis na leo ndo mwsho!