Kuwa na msimamo. Unataka mzungu au mweusi mwenzio? Kwa nini ufikirie kuwakosa hao unaowataka na je, wana nini ambacho wabongo wenzio hawana?
Njoo nikupe huyu wangu maana nimemwambia akatahiri halitaki so tuwasiliane mwaya :becky::becky::becky:
umeona eee!bastards
hapo kwa kufikishwa kileleni wadanganye wasowajua....njaa itauma mpaka utumbo ujikunjePauline,
Utafaidi kweli kweli, wanaume wa kizungu wao raha yako ndio raha yao. Hasipokufikisha kileleni kwa namna yoyote ile basi haridhiki.
Faida zingine ni kama vile less pressure sababu sio vicheche sana. Pia wanaweza kukupikia na kuosha vyombo bila tabu yoyote ile.
PS: Wamarekani wengi hawana govi.
Just promise me usije enda na kibabu. Vibabu ni via kwa wale walio kimaslahi zaidi :becky:
hapo kwa kufikishwa kileleni wadanganye wasowajua....njaa itauma mpaka utumbo ujikunje
hahahhahahhah hamna lolote,nanyi mmekuwa malonya sanainawezekana appetite yenu siku hizi
kidume kimoja hakitoshi lol
Pauline rafiki yangu hamna siku ilionisikitisha kama leo,ukitaka mwanaume wa kukufaa usiangalie rangi tafuta mtu mnaye-connect nae ambaye hata ukimwangalia unajuwa anawaza nini nae pia akikuangalia tu anajua unawaza nini na ambae uko comfortable nae. Sipendi watu wanaosema nataka mtu wa rangi flani au kabila flani,kama umeandika ili tu chitchat sawa lakini kama haya unayo moyoni naomba uondoe msimamo huu dear smily -your friend always Uporoto.hivi hamna wazungu wanaotoka na wadada weusi ambao ni wanene?mie natafuta mzungu jamani,sehemu ninayoishi ni ya wazungu tupu ila hawaninotice....nifanyeje???msiniambie ni loose weight niwe stick-thin kama baadhi ya wake wa wazungu......?nikikosa mzungu niko tayari kusettle down na mweusi mwenzangu so kama wewe ni mkaka then handsome holaaaaaaaaaaaaaaaaaaaa at yo girl...........................:mwaaah::shut-mouth: