hivi hamna wazungu wanaotoka na wadada weusi ambao ni wanene?mie natafuta mzungu jamani,sehemu ninayoishi ni ya wazungu tupu ila hawaninotice....nifanyeje???msiniambie ni loose weight niwe stick-thin kama baadhi ya wake wa wazungu......?nikikosa mzungu niko tayari kusettle down na mweusi mwenzangu so kama wewe ni mkaka then handsome holaaaaaaaaaaaaaaaaaaaa at yo girl...........................:mwaaah::shut-mouth:
thanks sweetlady,hujanipa tips za kuwapata lakini.......:glasses-nerdy:
Pauline rafiki yangu hamna siku ilionisikitisha kama leo,ukitaka mwanaume wa kukufaa usiangalie rangi tafuta mtu mnaye-connect nae ambaye hata ukimwangalia unajuwa anawaza nini nae pia akikuangalia tu anajua unawaza nini na ambae uko comfortable nae. Sipendi watu wanaosema nataka mtu wa rangi flani au kabila flani,kama umeandika ili tu chitchat sawa lakini kama haya unayo moyoni naomba uondoe msimamo huu dear smily -your friend always Uporoto.
Its just that hufanani na kauli hii smily.pole jamani uporoto,umeongea kwa hisia mpaka nimeogopa....:smow:
hivi hamna wazungu wanaotoka na wadada weusi ambao ni wanene?mie natafuta mzungu jamani,sehemu ninayoishi ni ya wazungu tupu ila hawaninotice....nifanyeje???msiniambie ni loose weight niwe stick-thin kama baadhi ya wake wa wazungu......?nikikosa mzungu niko tayari kusettle down na mweusi mwenzangu so kama wewe ni mkaka then handsome holaaaaaaaaaaaaaaaaaaaa at yo girl...........................:mwaaah::shut-mouth:
Njoo nikupe huyu wangu maana nimemwambia akatahiri halitaki so tuwasiliane mwaya :becky::becky::becky:
mie ni mzungu....sio kwamba sisi hatutaki wadada weusi, tuna wahitaji saaaan coz wana baadhi ya vitu ambavvyo wadada wa kizungu hawana one of them ni maumbo yenu, it has nothing to do na unene ila figure za kiafrica mmmh! zinavutia, nadhani tu wewe huja mix fresh na hao wazungu wa huko kwenu, try yourbest mix nao then uone results, may be we mzuri sana wanakuogopa...!hivi hamna wazungu wanaotoka na wadada weusi ambao ni wanene?mie natafuta mzungu jamani,sehemu ninayoishi ni ya wazungu tupu ila hawaninotice....nifanyeje???msiniambie ni loose weight niwe stick-thin kama baadhi ya wake wa wazungu......?nikikosa mzungu niko tayari kusettle down na mweusi mwenzangu so kama wewe ni mkaka then handsome holaaaaaaaaaaaaaaaaaaaa at yo girl...........................:mwaaah::shut-mouth:
basi tu nataka nionje tofauti.....wabongo nilishawahi kuwa nao,this time nataka mzungu :confused2::whistle:
LOL!!! Pauline una mambo. Unatafuta mzungu. Kama hakuna hata mweusi twende. Nakumbuka sometimes ago uliwahi sema kuna wakati hata wanawake unawatamani... mmhhh.hivi hamna wazungu wanaotoka na wadada weusi ambao ni wanene?mie natafuta mzungu jamani,sehemu ninayoishi ni ya wazungu tupu ila hawaninotice....nifanyeje???msiniambie ni loose weight niwe stick-thin kama baadhi ya wake wa wazungu......?nikikosa mzungu niko tayari kusettle down na mweusi mwenzangu so kama wewe ni mkaka then handsome holaaaaaaaaaaaaaaaaaaaa at yo girl...........................:mwaaah::shut-mouth:
basi tu nataka nionje tofauti.....wabongo nilishawahi kuwa nao,this time nataka mzungu :confused2::whistle: