jamaniii nitapataje mzungu?


...... Nikipaka mkorogo, nitafaa?
 

pole jamani uporoto,umeongea kwa hisia mpaka nimeogopa....:smow:
 
mi nipo ukikosa huyo blad muzungu,tuje tuelekezane yalee mambo yetu yaleeeee ya tigo kinadharia:A S thumbs_up:
 
Pole pauline! Ningekuwa mimi, nisingethubutu kuwataka hawa watu! Nakuomba achana nao, ila kama Mungu amekupangia mzungu, ni sawa!
 

hehehe sweetheart Pauline unaifahamu blog moja inaitwa U-Turn hebu Contact na Mange akupe mbinu mbadala
 
pauline im here 4 u,ila mm ni mzungu mweusi,mnatuitaga black america
 
Pamoja na mapungufu yetu mengine, ukoloni umetuathiri na utaendelea kutuathiri sana. Kuna hisia kwamba wazungu ni viumbe wenye huruma kuliko jamii zingine za watu. Mara ooh wazungu ni waaminifu hata ktk mapenzi, nk. Kuna siku ktk hoteli moja kubwa ya kitalii Arusha, wahudumu wa kike na kiume walifakamia sana pombe walizopewa na wazungu waliokuwa wanasherehekea hapo, wakalewa mbaya. Kuja kushtuka asubuhi, wote (dadas+kakas) walikuwa wameshapitiwa na wazungu. Wakaishia kufukuzwa kazi maana ilikuwa ni aibu kwa hoteli. Kazi hamna na kupitiwa umepitiwa kwa hongo ya pombe. Kuna dada mwenye akili timamu aliwahi kufanya mapenzi na mbwa wa mzungu hapa dsm, yaani kila kitu cha mzungu ni kizuri.Anakuja mzungu hapa bongo bila hata kumi, anaondoka na mamilioni-shukrani kwa watz wanaosaini mikataba kama ya Richmond, Rites, na madini. Wazungu ni binadamu tu kama sie wenye ngozi nyeusi kama chungu!
 
mie ni mzungu....sio kwamba sisi hatutaki wadada weusi, tuna wahitaji saaaan coz wana baadhi ya vitu ambavvyo wadada wa kizungu hawana one of them ni maumbo yenu, it has nothing to do na unene ila figure za kiafrica mmmh! zinavutia, nadhani tu wewe huja mix fresh na hao wazungu wa huko kwenu, try yourbest mix nao then uone results, may be we mzuri sana wanakuogopa...!
 
Astakafilu!..... Mwe, Pauline sina uzoefu anga hizo wala sijawahi kufikiria.
 
LOL!!! Pauline una mambo. Unatafuta mzungu. Kama hakuna hata mweusi twende. Nakumbuka sometimes ago uliwahi sema kuna wakati hata wanawake unawatamani... mmhhh.
Kwa kujibu swali lako usitafuti mtu kwa lengo la kupendana, tafuta tu marafiki kwanza, wakiwa karibu yako ndio watagundua how beautiful you are. hayo ya skinny girls ni superficial love sababu mtu akikupenda hapendi mwili, anakupenda wewe.
 
kuna ka blog flani hivi kanaitwa "U-turn" kuna siku mmiliki wake alileta bifu hapa nadhani kule ndo kuna hilo soko!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…