Jambazi akirudisha silaha kwa hiyari, je anakamatwa au anaachiwa?

Jambazi akirudisha silaha kwa hiyari, je anakamatwa au anaachiwa?

sumer

JF-Expert Member
Joined
Oct 29, 2016
Posts
344
Reaction score
229
Nimekaa nikajiuliza sana baada ya kuona silaha zinachomwa moto,na mmoja wa polisi akisema bunduki hizi zimekamatwa na nyingine zimerudishwa kwa hiyari na hapo ndio swali likaanzia.
Naomba msaada .
 
Nimekaa nikajiuliza sana baada ya kuona silaha zinachomwa moto,na mmoja wa polisi akisema bunduki hizi zimekamatwa na nyingine zimerudishwa kwa hiyali.na hapo ndio swali likaanzia.naomba msaada .

= hiyari
 
Ila huna uhakikaka cha mcng rudisha iyo silaha yako utarudi na mrejesho timilifu
Niliuliza ila sina mm maana nasiaga wamesalimisha nkataka kujua mwisho ni nn ila nimegundua wengi wanazitelekeza
 
Back
Top Bottom