Jambazi sugu,mwizi wa majeneza aliogeuka na kuwa mhubiri wa injili.

Jambazi sugu,mwizi wa majeneza aliogeuka na kuwa mhubiri wa injili.

Idd Ninga

JF-Expert Member
Joined
Nov 18, 2012
Posts
5,497
Reaction score
4,775
John Kibera lilikuwa jina lilotawala sana katika vichwa vya wanausalama wa Kenya kwa kuwasumbua kwa matukio yake ya kupora raia na kutishia maisha.

John Kibera maarufu kama "DK Shah" alibadili mbinu ya kusumbua raia waliohai na kuamua kusumbua marehemu walio makaburini baada ya mauaji ya mpenzi wake aliepigwa risasi na maaskari na kuaga dunia na yeye kujeruhiwa.

Alianza kwa kuuza wazo lake la wizi wa majeneza kwa marafiki zake walokutana gerezani na ndipo walipokubaliana kuiba majeneza yalozikwa muda mfupi.

Inasemeka John Kibera aliiba zaidi ya majeneza elfu moja lakini ni yeye peke yake alobaki hai na wenzake wote walipotezwa na risasi za polisi.

Kibera alikuwa akitafuta habari za marehemu kupitia magazeti yenye matangazo ya vifo na hivyo kuhudhuria ktk msiba alohisi watafanikiwa mitego yao na huko alifanya uchunguzi wa haraka wa kujua gharama za jeneza ambalo baada ya wizi wangeenda kuuza ktk maduka ya wahindi.

John kibera aliponea kifo baada ya kukiingia ndani ya jeneza siku walipofumaniwa na polisi.
 
Ya kitambo sana ila ungeinogesha kama ungeelezea hatua kwa hatua na kapicha kake
 
Ilitolewa jicho pevu hii nadhani...parawanja la ujangili kitu kama hicho sikumbuki!
 
John Kibera lilikuwa jina lilotawala sana katika vichwa vya wanausalama wa Kenya kwa kuwasumbua kwa matukio yake ya kupora raia na kutishia maisha.

John Kibera maarufu kama "DK Shah" alibadili mbinu ya kusumbua raia waliohai na kuamua kusumbua marehemu walio makaburini baada ya mauaji ya mpenzi wake aliepigwa risasi na maaskari na kuaga dunia na yeye kujeruhiwa.

Alianza kwa kuuza wazo lake la wizi wa majeneza kwa marafiki zake walokutana gerezani na ndipo walipokubaliana kuiba majeneza yalozikwa muda mfupi.

Inasemeka John Kibera aliiba zaidi ya majeneza elfu moja lakini ni yeye peke yake alobaki hai na wenzake wote walipotezwa na risasi za polisi.

Kibera alikuwa akitafuta habari za marehemu kupitia magazeti yenye matangazo ya vifo na hivyo kuhudhuria ktk msiba alohisi watafanikiwa mitego yao na huko alifanya uchunguzi wa haraka wa kujua gharama za jeneza ambalo baada ya wizi wangeenda kuuza ktk maduka ya wahindi.

John kibera aliponea kifo baada ya kukiingia ndani ya jeneza siku walipofumaniwa na polisi.
Umechelewa sana jomba ya kitambo sana me niliona kwenye bus nikitoka mwanza kwenda arusha mwaka 2014
 
Hata hueleweki kabisa wizi huo ulifanyika kwa njia gani? Na walipataje hao wateja
 
Dah! Mpaka na sikitika! Story hii inaoneka ni booonge la muvee ila huyo msuliaji sasa! Na ilipo ishia hiyo story dah!
 
John Kibera lilikuwa jina lilotawala sana katika vichwa vya wanausalama wa Kenya kwa kuwasumbua kwa matukio yake ya kupora raia na kutishia maisha.

John Kibera maarufu kama "DK Shah" alibadili mbinu ya kusumbua raia waliohai na kuamua kusumbua marehemu walio makaburini baada ya mauaji ya mpenzi wake aliepigwa risasi na maaskari na kuaga dunia na yeye kujeruhiwa.

Alianza kwa kuuza wazo lake la wizi wa majeneza kwa marafiki zake walokutana gerezani na ndipo walipokubaliana kuiba majeneza yalozikwa muda mfupi.

Inasemeka John Kibera aliiba zaidi ya majeneza elfu moja lakini ni yeye peke yake alobaki hai na wenzake wote walipotezwa na risasi za polisi.

Kibera alikuwa akitafuta habari za marehemu kupitia magazeti yenye matangazo ya vifo na hivyo kuhudhuria ktk msiba alohisi watafanikiwa mitego yao na huko alifanya uchunguzi wa haraka wa kujua gharama za jeneza ambalo baada ya wizi wangeenda kuuza ktk maduka ya wahindi.

John kibera aliponea kifo baada ya kukiingia ndani ya jeneza siku walipofumaniwa na polisi.
Kwa hiyo tusubiri sehemu ya pili jinsi alivyookoka na kuwa muhubiri?
 
Mkishakunywa viroba vyenu ndo mnakuja kutusimulia vistori vyenu,kichwa cha habari matata lakn habar yenyew km mkia wa mbuzi,pumbav kabisa mtoa post
 
Mkishakunywa viroba vyenu ndo mnakuja kutusimulia vistori vyenu,kichwa cha habari matata lakn habar yenyew km mkia wa mbuzi,pumbav kabisa mtoa post

Haha haha yaani we mjinga umenifurahisha Sana ila nawe waonekana umebwia madude
 
Mbona cjaona mahali ambako umesema ni mchungaji? Ongeza nyama
 
Back
Top Bottom