Me Katika Maisha Yangu Kutoa Lugha Ya Matusi Ni Vigumu Sana. But Kilichonifanya Kuwaza Ivo Nikama we umeshindwa kukumbuka si tutakumbukaje mkuu?? em kuwa serious basi umewaza nini hadi ukauliza hivo sasa
hapo nimekusoma mkuu alafu kuna rafiki yang flan ni mtumishi was kanisa yaani ye ukitukana mbele yake lazima akupe somo au hata kufunga na maombi pia nikikumbuka nachekaga sanaMe Katika Maisha Yangu Kutoa Lugha Ya Matusi Ni Vigumu Sana. But Kilichonifanya Kuwaza Ivo Ni
Kuna Jamaa Mmoja Iv Tumesoma Nae Pahali Fulani, Anasema Kuna Mtu Alimtukana Ms...., Tusi Ilo Lilimuumiza Sana, Jamaa Akaanza Kuwaza Ivi Huyu Mtu Ameanzaje Kunitus Ivo Itakuwa Ana Mapepo. Ikabdi Amfungie Maombi Kwamba Aache Kutukana Watu Matusi,
Ni Hapo Nlpoanzia Kuwaza
Ndo Hivyo Mkuu, But Saiv Huyo Mshakaj Kashabadilika nae kwake kutusi ishakuwa kawaida,hapo nimekusoma mkuu alafu kuna rafiki yang flan ni mtumishi was kanisa yaani ye ukitukana mbele yake lazima akupe somo au hata kufunga na maombi pia nikikumbuka nachekaga sana
hahahaha anaenda na kasi ya ulimwenguNdo Hivyo Mkuu, But Saiv Huyo Mshakaj Kashabadilika nae kwake kutusi ishakuwa kawaida,
labda vyuma vimezidi kukaza hadi mtu lazima upagawe tu ndo hayo mtumishi kabadilikaNdo hivo mpaka mwenyewe akikumbuka anabaki anashangaa