rikiboy
JF-Expert Member
- Feb 19, 2017
- 21,952
- 43,265
Habari ndugu wana JF natumaini mpo poaa hasa katika kipindi hichi tukisubiri kuupokea mwaka mpya 2018 kwa uweza wa Mungu aliejuu.. Kiukweli 2017 ulikuwa mwaka wenye mambo mengi lakini kila mmoja ana jambo ambalo hawezi kulisahau kwa mwaka huu... Mimi binafsi sitasahau siku niliyoumwa sana Malaria Kali na ilikuwa kipindi cha Mitihani ya Chuo lakini Mungu ni mwema nilifanya mitihani yote kwa uwezo wake.. Na wew share jambo ambalo hutalisahau 2017...Karibuni