Jambo gani uliwahi kulifanya na ni siri yako tu

Mwene chungu

JF-Expert Member
Joined
Nov 12, 2016
Posts
915
Reaction score
752

salute!.

Katika hali ya kawaida binadamu tunakutana au hata kufanya mambo mengi sana mema na mabaya..Na mengine tulishashau kwasababu ama umepita muda mwingi tangu umelifanya au kwa sababu limekosa maana kulingana na hali au wakati ulio nao kwa sasa...
..

Kupitia uzi huu, ni jambo gani unalokumbuka uliwahi kulifanya lakini ni siri ama kwako mwenyewe au na mtu wako karibu sana lakini hakika ni siri kuwa lingejulikana lingekushushia hadhi au hata kutoeleweka vuzuri familia, jamii au mahala pako pa kazi.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…