SAGAI GALGANO
JF-Expert Member
- Nov 13, 2009
- 47,706
- 69,281
Yaani Yanga sasa hivi kama ni papuchi basi ni kama ya mbuzi iko nje nje watu wanajipigia tu watakavyo.Huyu ni mwanayanga, kwa sasa anaumia kweli anapoona timu yake ikigeuzwa kuwa jamvi la wageni.
Kichekesho ni kwamba huyu mleta mada anazihamishia hasira za Yanga kwa mheshimiwa JPM.Yaani Yanga sasa hivi kama ni papuchi basi ni kama ya mbuzi iko nje nje watu wanajipigia tu watakavyo.
Huo ndiyo UKWELI!
Hata km ni mchungu lkn huo ndiyo UKWELI!Hali halisi hata huku mtaani upande wa pili umekwazika na hawana imani na wewe tena!
Tulikisihi uachane na MAHABA ya u-Simba na u Yanga ZITAKUHALIBIA,ukapuuza!
Nasikia hata baadhi ya washauli wako uliwakatalia lazima uende....hhhhh!
Impact ya jambo hilo si tu itaonekana leo bali hii umejenga chuki kwa upande wa pili hadi mwisho wa utawala wako.
Japokuwa eti unajifanya ww si mwanasimba lkn Mungu huwa hamfichi...Hiyo ilizihirika kwa wewe kukaririwa ukitamka `Nyinyi wana Simba 'hhhhh!
Nasikia mechi ijayo ya Yanga na Gor Mahia umepanga kuibuka uwanjani ili eti u-balance mambo;mm nakucheki tu-kubali umejiharibia!
Kikwete na MAHABA yake kwa timu ya Yanga lkn HAKUTHUBUTU kwa namna yeyote kujihusisha nayo kwa maana ya moja kwa moja!ALIKUWA MJANJA!
ANY WAY,HOMGERA KWA KWENDA KUISAPOTI TIMU YA WAZUNGUSHA MIKONO a.k.a WAZEE WA UKAWA!
YANGA SHTUKENI!
Duh! Jamani nineshawahi kusoma kuwa Mbowe no Yanga. Sasa haya ya Simba kuwa CHADEMA yanatoka wapi? Ebu acheni hisia zenu wanayanga kufikiria wao ni CCM.Huo ndiyo UKWELI!
Hata km ni mchungu lkn huo ndiyo UKWELI!Hali halisi hata huku mtaani upande wa pili umekwazika na hawana imani na wewe tena!
Tulikisihi uachane na MAHABA ya u-Simba na u Yanga ZITAKUHALIBIA,ukapuuza!
Nasikia hata baadhi ya washauli wako uliwakatalia lazima uende....hhhhh!
Impact ya jambo hilo si tu itaonekana leo bali hii umejenga chuki kwa upande wa pili hadi mwisho wa utawala wako.
Japokuwa eti unajifanya ww si mwanasimba lkn Mungu huwa hamfichi...Hiyo ilizihirika kwa wewe kukaririwa ukitamka `Nyinyi wana Simba 'hhhhh!
Nasikia mechi ijayo ya Yanga na Gor Mahia umepanga kuibuka uwanjani ili eti u-balance mambo;mm nakucheki tu-kubali umejiharibia!
Kikwete na MAHABA yake kwa timu ya Yanga lkn HAKUTHUBUTU kwa namna yeyote kujihusisha nayo kwa maana ya moja kwa moja!ALIKUWA MJANJA!
ANY WAY,HOMGERA KWA KWENDA KUISAPOTI TIMU YA WAZUNGUSHA MIKONO a.k.a WAZEE WA UKAWA!
YANGA SHTUKENI!
Huo ndiyo UKWELI!
Hata km ni mchungu lkn huo ndiyo UKWELI!Hali halisi hata huku mtaani upande wa pili umekwazika na hawana imani na wewe tena!
Tulikisihi uachane na MAHABA ya u-Simba na u Yanga ZITAKUHALIBIA,ukapuuza!
Nasikia hata baadhi ya washauli wako uliwakatalia lazima uende....hhhhh!
Impact ya jambo hilo si tu itaonekana leo bali hii umejenga chuki kwa upande wa pili hadi mwisho wa utawala wako.
Japokuwa eti unajifanya ww si mwanasimba lkn Mungu huwa hamfichi...Hiyo ilizihirika kwa wewe kukaririwa ukitamka `Nyinyi wana Simba 'hhhhh!
Nasikia mechi ijayo ya Yanga na Gor Mahia umepanga kuibuka uwanjani ili eti u-balance mambo;mm nakucheki tu-kubali umejiharibia!
Kikwete na MAHABA yake kwa timu ya Yanga lkn HAKUTHUBUTU kwa namna yeyote kujihusisha nayo kwa maana ya moja kwa moja!ALIKUWA MJANJA!
ANY WAY,HOMGERA KWA KWENDA KUISAPOTI TIMU YA WAZUNGUSHA MIKONO a.k.a WAZEE WA UKAWA!
YANGA SHTUKENI!
Unajua kwamba Mbowe ni Mwanachama na shabiki wa kutupwa wa Yanga? Unajua pia aliwahi kuwa ni miongoni mwa watu waliokuwa kwenye kamati ya "saidia Yanga ishinde"?ANY WAY,HOMGERA KWA KWENDA KUISAPOTI TIMU YA WAZUNGUSHA MIKONO a.k.a WAZEE WA UKAWA!
YANGA SHTUKENI!
Kuna mwanayanga anawaza kuwa wanaweza kuifunga USM?kumfunga USM Algiers ni ndoto za mchana.
Kuna mahali Magufuli alisema YEYE NI SHABIKI wa Simba Koko? Mi nakumbuka alisema yeye si shabiki wa timu yeyote na kama utakuwa na kumbukumbu na akili ya kukutosha, JPM alifurahi Juma K. Juma alipodaka penalti ya Oki sijui Korie.Leo hii kwa JPM kuwa shabiki wa Simba kwenu wanayanga inakuwa nongwa!!. Kwa taarifa yako wanayanga wenzako wenye busara na hekima wanabakia kimya kwani wanatambua kuwa tangu tupate uhuru marais karibu wote walikuwa ni mashabiki wa Yanga kuanzia hayati Mwalimu Nyerere.
Kubalini tu kwamba rais ni binadamu mwenye haki ya kushabikia timu anayoipenda. Na kama nilivyokwambia wanayanga wenye busara na hekima hawawezi kuumizwa na rais kuwa shabiki wa Simba.
Kama kiswahili tu chenyewe ndio unaandika hivi inaonyesha aidha hujitambui au elimu yako ndio hivyo tenaHuo ndiyo UKWELI!
Hata km ni mchungu lkn huo ndiyo UKWELI!Hali halisi hata huku mtaani upande wa pili umekwazika na hawana imani na wewe tena!
Tulikisihi uachane na MAHABA ya u-Simba na u Yanga ZITAKUHALIBIA,ukapuuza!
Nasikia hata baadhi ya washauli wako uliwakatalia lazima uende....hhhhh!
Impact ya jambo hilo si tu itaonekana leo bali hii umejenga chuki kwa upande wa pili hadi mwisho wa utawala wako.
Japokuwa eti unajifanya ww si mwanasimba lkn Mungu huwa hamfichi...Hiyo ilizihirika kwa wewe kukaririwa ukitamka `Nyinyi wana Simba 'hhhhh!
Nasikia mechi ijayo ya Yanga na Gor Mahia umepanga kuibuka uwanjani ili eti u-balance mambo;mm nakucheki tu-kubali umejiharibia!
Kikwete na MAHABA yake kwa timu ya Yanga lkn HAKUTHUBUTU kwa namna yeyote kujihusisha nayo kwa maana ya moja kwa moja!ALIKUWA MJANJA!
ANY WAY,HOMGERA KWA KWENDA KUISAPOTI TIMU YA WAZUNGUSHA MIKONO a.k.a WAZEE WA UKAWA!
YANGA SHTUKENI!
Hahaaha pole sana mkuu. Mwaka huu gongo wazi mnapumulia machine, tangu Manji aanze kupelekwa puta na mfumo naona mbwembwe zote za kulala kwenye hoteli za kitalii zimebakia kwenye kumbukumbu zenu.Kuna mahali Magufuli alisema YEYE NI SHABIKI wa Simba Koko? Mi nakumbuka alisema yeye si shabiki wa timu yeyote na kama utakuwa na kumbukumbu na akili ya kukutosha, JPM alifurahi Juma K. Juma alipodaka penalti ya Oki sijui Korie.
Mmetobolewa tundu hadi mnapoteza uwezo wa kufikiri?
walionyesha kiwango kibovu na okwi alipokosa penati ya mbeleko mh alishangilia. Chanzo: MwanaspotiMtajuana wenyeweView attachment 781647