Jambo la aibu lililonitokea usiku wa jana wakati nafanya tendo la ndoa na mke wangu

Siku zote watu wenye nguvu kidogo za kiume ndiyo unawakuta na wake wanne na michepuko sita, afu wana wifu kuliko dada zetu

Sent using Jamii Forums mobile app
teh teh yaani usinichekeshe, anaona wivu maana anajua wife akikutana na wale wa dona hakika hataangalia nyuma.

usichezee hii kitu inaweza hamisha mawazo ya mtu
 


Sent using Jamii Forums mobile app
 
Jamaa acha kututisha wana chama wee sema ushazeeka usisingizie puli bhana alaaah
 
Kama wa DAR kawaida

“Start where you are. Use what you have. Do what you can.”

 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…