joto la jiwe
JF-Expert Member
- Sep 4, 2017
- 26,117
- 46,617
Yaani Magufuli anapendwa Kenya kuliko, Uhuru + Rutto + Raila + Kalonzo combined. Hii inanishangaza sana.Walitamani sana awe rais wao kwa sababu...!
Yaani Magufuli anapendwa Kenya kuliko, Uhuru + Rutto + Raila + Kalonzo combined. Hii inanishangaza sana.
Hata akienda kijijini kwao Chato ni habari kubwa Kenya ππ.
Magufuli ni popo aina gani???
Popobawa na lazima usiku wa leo atakupitia.
Our athletes are more popular than Tanzania the country let alone some Dick head like that one you are mentioning there
Wewe mngoje popobawa atakuja kukusalimia usiku wa leo.