Jambo na vijambo ni wachekeshaji nguli sana apa Tanzania

matengongolo

JF-Expert Member
Joined
Feb 6, 2015
Posts
305
Reaction score
103
Hawa Jamaa ni kati ya wasanii wakali sana katika tasnia ya vichekesho apa nchini ata original komedi wanakaa .

Wanaubunifu na upangiliaji mzuri wa matukio au vipengele mf. Aisee kama....,cha uroho,na maneno kumi .

Mfano wa wahusika wanaonifurahisha ni kazoa(chauroho),Duchu wa Duchu(maneno kumi) na Ayub kondo(kama yesu ).

Ivi wapo wapi siku izi manake tumewamiss sana kipindi kile walirusha sana e.a TV.

Mwenye kuwajua please atiririke hapa.

Nawasilisha.
 
Nawaelewa sana hawa watu!!

Ila nadhani ufadhili ndio kitu kilichowakwamisha.. Bila pesa ya kutosha kusukuma kipaji chako nowdays ni ngumu kupiga hatua
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…