Jambo Plastic kwa matumizi ya vyooni

Jambo Plastic kwa matumizi ya vyooni

julaibibi

JF-Expert Member
Joined
Jun 16, 2020
Posts
3,081
Reaction score
4,224
Kiutamaduni mwafrika amezoea choo cha kuchutama. Hivi vya kukaa utamaduni wa wenzetu.

Ila kukaa huwa kunambidi mtu pindi anaumwa au wazee au wamama wajawazito. Mahitaji ya kukaa hayaepukik katika baadhi ya wakati ingawa kama una afya vizuri inashauriwa uchutame.

Jambo plastic hivi viplastic tunaomba mzalishe huko kiwandan vitauzika sana amini naawambia au kama mtu ana ka mashine ka kufinyanga tuviti hutu atauza sana.

Nyumba zetu nyingi hazina vyoo hivyo so unakuta mtu kipindi unaumwa, mathalan kuendesha pale ndio utajua umuhimu wa choo ya kukaa na kujiambia ukija kujenga lazima uweke na nini na nini. Kwa ile adha ya kuchutama na pia hivi viplastic havina kinyaa ukimwamgia maji kanakuwa kasafi.

Hivi hadi hutu tuagize China kwel?

Screenshot_20230125-081548_Phoenix.jpg
Screenshot_20230125-081535_Phoenix.jpg
 
Tena hiyo idea watapiga sana pesa, wagonjwa, wazee, walemavu vitanunuliwa sana kama akiba ya matumizi ya nyumbani ili kusaidia wahitaji kikubwa viwe vigumu kama vile vya Ulaya au Kenya hapo wanazalisha vigumu sana
 
Wazo zuri. Wewe hicho umekifuma wapi mkuu?

Mi ilinilazimu kutoboa katikati kiti cha plastic ili kumuwezesha kujissidia mgonjwa wangu aliyekuwa hajiwezi hata kukaa.
Nikifume wap mkuu.nimeona wachina.
Najiuliza hapa tuna kiwanda cha plastic arusha nadhan
Wanatengeneza maviti meza mafagio. Kwa nin wanasahau hivi vistuli .em nenda muhimbil hivi unadhan mtu asingenunua. Ukiendesha ndio utajua umuhim wa choo cha kukaa.kuna muda tumbo linafungulia unamaliza yanabaki kutoka maji. Ukitishia kujamba waleteee uharo so unaweka ka mkeka pale mlangon choon
 
Kiutamaduni mwafrika amezoea choo cha kuchutama. Hivi vya kukaa utamaduni wa wenzetu.

Ila kukaa huwa kunambidi mtu pindi anaumwa au wazee au wamama wajawazito. Mahitaji ya kukaa hayaepukik katika baadhi ya wakati ingawa kama una afya vizuri inashauriwa uchutame.

Jambo plastic hivi viplastic tunaomba mzalishe huko kiwandan vitauzika sana amini naawambia au kama mtu ana ka mashine ka kufinyanga tuviti hutu atauza sana.

Nyumba zetu nyingi hazina vyoo hivyo so unakuta mtu kipindi unaumwa, mathalan kuendesha pale ndio utajua umuhimu wa choo ya kukaa na kujiambia ukija kujenga lazima uweke na nini na nini. Kwa ile adha ya kuchutama na pia hivi viplastic havina kinyaa ukimwamgia maji kanakuwa kasafi.

Hivi hadi hutu tuagize China kwel?

View attachment 2494768View attachment 2494769
Mbona mjamaa anaonekana kama vile ngama imegoma kushuka.
 
Kiutamaduni mwafrika amezoea choo cha kuchutama. Hivi vya kukaa utamaduni wa wenzetu.

Ila kukaa huwa kunambidi mtu pindi anaumwa au wazee au wamama wajawazito. Mahitaji ya kukaa hayaepukik katika baadhi ya wakati ingawa kama una afya vizuri inashauriwa uchutame.

Jambo plastic hivi viplastic tunaomba mzalishe huko kiwandan vitauzika sana amini naawambia au kama mtu ana ka mashine ka kufinyanga tuviti hutu atauza sana.

Nyumba zetu nyingi hazina vyoo hivyo so unakuta mtu kipindi unaumwa, mathalan kuendesha pale ndio utajua umuhimu wa choo ya kukaa na kujiambia ukija kujenga lazima uweke na nini na nini. Kwa ile adha ya kuchutama na pia hivi viplastic havina kinyaa ukimwamgia maji kanakuwa kasafi.

Hivi hadi hutu tuagize China kwel?

View attachment 2494768View attachment 2494769
Ndg napenda kufahamu kwa mtu mwenye afya yake kutumia hivyo anapataje uwezo wa kusukuma kinyesi kikatoka chote?
 
Kiutamaduni mwafrika amezoea choo cha kuchutama. Hivi vya kukaa utamaduni wa wenzetu.

Ila kukaa huwa kunambidi mtu pindi anaumwa au wazee au wamama wajawazito. Mahitaji ya kukaa hayaepukik katika baadhi ya wakati ingawa kama una afya vizuri inashauriwa uchutame.

Jambo plastic hivi viplastic tunaomba mzalishe huko kiwandan vitauzika sana amini naawambia au kama mtu ana ka mashine ka kufinyanga tuviti hutu atauza sana.

Nyumba zetu nyingi hazina vyoo hivyo so unakuta mtu kipindi unaumwa, mathalan kuendesha pale ndio utajua umuhimu wa choo ya kukaa na kujiambia ukija kujenga lazima uweke na nini na nini. Kwa ile adha ya kuchutama na pia hivi viplastic havina kinyaa ukimwamgia maji kanakuwa kasafi.

Hivi hadi hutu tuagize China kwel?

View attachment 2494768View attachment 2494769
BONGE LA IDEA ,binafsi niliuguza mtu,tukawa tunatumia kiti ajisaidie
 
Hapana labda uwe mgonjwa, mbona vijijini wazee wanamtumia mpaka mwisho wa maisha yao?
Wazee huko.huku watoto wa sister angu hawawez kuchutama. Kuna jamaa akichutama dk 5 anatetemeka miguu.hamna stamina. Marehem bib mpaka anafarik anachutama
 
Back
Top Bottom