Jameni hebu sijui lakufanya ushari PLZ


Full mahekima!!!

Vp dozi (kikombe) babu, bado unatoa?
 
Are u suspecting something beside that?
 

Mkuu pole kwa hilo.. Lakini nashindwa ku-comment sana kwani mazingira uliyosema bado hesabu zake haziendani sana.

Kama mnaishi vizuri yaani hakuna migongano mke wako hawezi kukurupuka kwa maamuzi kama hayo na akaishia kukutukana wakati anajua deal yako ni ya muda mfupi. Na kama mngekuwa na matatizo wewe usingepata moyo wa kutuma Million 2 wakati muda wa kurudi umekaribia...

Naamini unajua fika ukisema ulikuwa na nia ya maendeleo halafu mke wako achukua hela na kununua sofa na baadaye akaishia kukutukana sisi wadau tutakuonea huruma. Kabla hatujakuonea huruma..kwanza tuhakikishie kama hauna skendo yeyote huko nyumbani kwako!

Mwisho subiri urudi na utatue hayo mambo na mke wako..kama amekutukana tafuta sababu..yeye sio chizi na hawezi kubadilika ndani ya miezi 4 labda kama halishabadilika kabla hujaondoka...
 

Fanicha za ndani ndo nn? Mbana watz tunashindwa kufikilia mambo ya maendeleo. Mm simuungi mkono huyo mwanamke kwan anaonesha kabisa mambo yake nn yakujilemba sana na kupamba. Kaka hapo vumilia ukirudi ndomuongee vizuri kwan utapata hasira bule hawa viumbe balaa tupu. Sijui lini tutabadilika watz kwan maisha ya sasa sio yakujionesha kwamba una sofa, una gari. Jaribu kuishi jinsi utakavyo na sio jinsi majirani watakavyo.
 
Si biashara mkuu, mbona kawaida sana mtu kukaa mbali na mkewe kwa hiyo miezi
as long as anasaka mshiko au?

Ni kweli Shantel mie mwenyewe hapa Husb yuko vere far tinaonana baada ya miezi mitatu..
ndo maisha ya utafutaji fainali uzeeni
 
Huyu mwanamke issue yaani mambo hayo ndo kagoma na kuongea pole mwaya najua jinsi gani unavyojisikia na ukizingatia na umbali.
Lakini na imani hasira itaisha na mtaongea vizuri na kuweka mambo sawa.ila usiwe na hasira maana kijanunua fanicha tayari kitu ambazho huwezi kubadili tena.
 
<br />
<br />
umeolewa wewe hujaoa
 
Ushauri wa Babu wa loliondo ni mzuri ufanyie kazi.
Cha msingi save pesa kisha nenda nae mkatekeleze majukum usimtume yeye peke yake kwa ishu muhim
 
Si biashara mkuu, mbona kawaida sana mtu kukaa mbali na mkewe kwa hiyo miezi<br />
as long as anasaka mshiko au?

wewe saka mshiko tu na ukirudi ukimkuta mkeo ana mimba usiulize!
 
pole sana. Mkeo c muelewa. Calm down. Hakuna haja ya kumtumia pesa. Wewe save ukirudi usimamie hzo shughuli mwenyewe
 
1.kama ana mimba ya miezi 4 isiyo yako atapokeaje simu yako????
2.kaa mkao wa kula....upokee habari mbaya au nzuri
3.wala isikupe presha..........maisha ndivyo yalivyo.
Ushauri;
tafuta pesa acha kumuwazia,........akiamua atakupigia asipokupigia basi si riziki.
 
Mkuu sina tatizo lolote nae nikwamba tu yeye anataka kubadili sofa hizo na mimi na naziona sio mbaya hazija chakaa mkuu tunaishi wawili tu na watoto wetu wanaumri mdogo hawana tabia ya kuchafua chafua mmoja ana miaka miwili mungine ni wamikononi hayaja chakaa japokuwa yanamika4. nakisa chakutuma sms mbovu nikumshauri awe chanya kuachana na mambo ya kibishoo kahisi kama nimemtus nihivyo
 
Mimi nadhani umeonekana kuwa mtu wa ahadi zisizotimia.Na ni wazi hiyo ahadi ya fanicha si ya kwanza.Mwombe Mungu ili akuhepushe na tabia za kutaka kuahatarisha ndoa yako mkiishaelewana na mkeo.Mtu wa ahadi zisizotimia hutafsiriwa kuwa asiyejari, asiye makini na mwenye kumdharau muhaidiwa.Badilika kaka.
 
Siwesi kufkiri hilo wala sijamuwazia hivyo kwa mapenziyetu sirahisi kudanganyika nakunirud kirahisi. japokuwa inawezekana lakini siwezi kumzani hivyo ntakuwa nimemzarau sana. namsamini nakumpenda
Are u suspecting something beside that?
 
Nimekuelewa ushauri wako ni mzuri japokuwa sivyo hivyo uzaniavyo sasa kama zipo bomba lazima zibadilishwe?
 
Namimi nimemchunia sasa hivi naona kanitumia kaimeli nako sikajibu najua halali bila kupata sim yangu au sms lakini anjikaza kisabuni
 
Tatizo dogo sana, rudi nyumbani ukasolve issue zako, saa ingine ana hamu na wewe mpaka anapata hasira tu
 
Gaga umesema mwanakwetu nikweli inawezekana mana mimi mwenyewe nimeshangazwa sana nakitendo hiki kwajinsi tunavyopendana nakubadilika maramoja sio haliya kawaida
Tatizo dogo sana, rudi nyumbani ukasolve issue zako, saa ingine ana hamu na wewe mpaka anapata hasira tu
 
Mkuu nimekuelewa vizuri na nashukuru kwa ushauri wako japokuwa inaniuma sana mana mkuu nilikuwa nilime kilimo cha kisasa kwa umwagiliagi na wataalam wanashauri kulima kwamuda muafaka sasa mpaka itakpo fika mwisho wa mwezi ntakuwa nimechelewa sana inabidi nisilime kwa msimhuu huni hapo nihasara gani imepatikana nilitegemea kupiga bao la nguvu baada ya mavuno lakini nimeisha msamehe mkuu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…