Jameni Watanzania hili jipu la kujaza ombaomba wenu Kenya mlitumbue

mtandao unao organize beggars wa kitz ndani ya kenya upo ndani ya kenya na unahusu wakenya...so anzeni ku deal na huo mtandao ili tuone dhamira yenu otherwise muache kulia lia.
 
Kwa nini hawataki kurudi
kwasababu mna roho ya huruma...endeleeni kuwapatia pesa.....mkiwanyima pesa lazima watatafuta njia ya kurudi makwao.
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]

endeleeni kuwa na moyo wa huruma.
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]
 
mtandao unao organize beggars wa kitz ndani ya kenya upo ndani ya kenya na unahusu wakenya...so anzeni ku deal na huo mtandao ili tuone dhamira yenu otherwise muache kulia lia.
Mtandao wenyewe ni kazi ya ndugu zao watanzania. Wanawaleta huku Kenya afu wanawaatumia kutengeneza hela si haba. Dah mitanzania bana.
 
Kuna watu wapo kazini hapo,,msifikiri wote ni ombaomba.!
 
Kuna watu wapo kazini hapo,,msifikiri wote ni ombaomba.!
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]
wanachezea taifa lililopitia misingi ya kijamaa hawa....acha waendelee kutu-mock kuhusu hao ombaomba waliojazana mitaa mbalimbali nairobi wakidhani wanatukomoa...watakuja shtuka while it's too late.
 
No Wakenya hao WAMERUDI kwao walikuja TZ miaka ya 1970's
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…