Tajiri wa kusini
JF-Expert Member
- Nov 28, 2022
- 1,079
- 2,947
Walamba asali wakubwaMasoud Kipanya na James Gayo hiyo sio poa kabisa naona mnapenda kutukosea sana kwamba sisi ni wengi ila kuchukua nchi tuna nafasi finyu sana au sie tupo wengi ila walamba asali ni wengi sana.
Nitafungua mashtaka kwa James Gayo na Masoud Kipanya maana naona mnaendelea kutukosea sana.
View attachment 2493871
View attachment 2493970
View attachment 2493873
View attachment 2493874
🤣🤣🤣🤣🤣hisia mbayaMasoud Kipanya na James Gayo hiyo sio poa kabisa naona mnapenda kutukosea sana kwamba sisi ni wengi ila kuchukua nchi tuna nafasi finyu sana au sie tupo wengi ila walamba asali ni wengi sana.
Nitafungua mashtaka kwa James Gayo na Masoud Kipanya maana naona mnaendelea kutukosea sana.
View attachment 2493871
View attachment 2493970
View attachment 2493873
View attachment 2493874
[emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3]Kaka tambua hapa wengi tunakuamini tulio wengiKiukweli kuweza kujua katuni zinasema nini, inahitaji uwezo fulani, very unfortunately mimi sinao.
P
[emoji849][emoji849]katuni zenyewe zimekosa hata kachupa ka konyagi na asali [emoji1787][emoji1787]Sijaona kama kuna ishu ya maana sana kuwahusu hao Chadema, kupitia hizo katuni.
Huna akili ya kufikiria?Sijaona kama kuna ishu ya maana sana kuwahusu hao Chadema, kupitia hizo katuni.
Unauliza swali kama unatoka kukata gogo!Huna akili ya kufikiria?
Kiukweli kuweza kujua katuni zinasema nini, inahitaji uwezo fulani, very unfortunately mimi sinao.
P
Hahahaha 😹😹😹Unauliza swali kama unatoka kukata gogo!
Cheza na mda na tukio linalo trend kwa wakati huo nirahisi sanaKiukweli kuweza kujua katuni zinasema nini, inahitaji uwezo fulani, very unfortunately mimi sinao.
P