Dabil
JF-Expert Member
- Sep 30, 2021
- 6,823
- 15,293
James Kotei aliyekuwa kiungo wa zamani wa Simba amesajiliwa rasmi na timu daraja la kwanza DTB ,hii club huko daraja la kwanza haishikiki ikiwa na wachezaji wakubwa tu Kama kina Hamis Tambwe,bila shaka itapanda daraja msimu huu.
Swali ni kwamba ligi yetu imekuwa juu sana hadi wachezaji wakubwa wanakosa timu za ligi kuu wanaenda daraja la kwanza?
Swali ni kwamba ligi yetu imekuwa juu sana hadi wachezaji wakubwa wanakosa timu za ligi kuu wanaenda daraja la kwanza?