Superbug
JF-Expert Member
- Jan 31, 2018
- 13,864
- 35,079
Naomba kujuzwa na ndugu marafiki jamaa na wapenzi wa ndugu yetu James Mbatia; je, bado anahamu na CCM?
Maana walimpa wafuasi kibao kule Rungwe Busokelo juu ya yote akakaribishwa ikulu na Mh Rais.
Swali langu bado ana mahaba na chama dola? Maana hata ubunge kakosa labda abebwe kwenye zile 10 Kama kawaida yake.
Superbug
Maana walimpa wafuasi kibao kule Rungwe Busokelo juu ya yote akakaribishwa ikulu na Mh Rais.
Swali langu bado ana mahaba na chama dola? Maana hata ubunge kakosa labda abebwe kwenye zile 10 Kama kawaida yake.
Superbug